BONGO CELEBRITY

All You Wanted To Know But Didn’t Know How and Where

HAPPY VALENTINE’S DAY February, 14, 2009

Filed under: Sikukuu — bongocelebrity @ 10:03 AM

valentino

Leo ni siku ya wapendanao duniani au maarufu kama Valentine’s Day.Ni sikukuu ambayo zamani ilikuwa ya “kimagharibi” zaidi kabla ya kuenea ulimwenguni kote.Sina mengi sana zaidi ya kuwaambieni wasomaji na watembeleaji wote wa BC kwamba tunawapenda na tunawatakia sikukuu njema.Enjoy!

 

4 Responses to “HAPPY VALENTINE’S DAY”

  1. BLACKMANNEN Says:

    Mimi nawatakia “Valentine” njema” wanaBC wenzangu wote hapa. Nawaomba tuzidishe Mapendo na Maelewano. Tuheshimiane katika utoaji wetu wa maoni. Vidole vyetu vya mikono yote miwili havilingani kwa urefu. Kwa hiyo, tunapotofautiana katika maoni, tusiweke chuki mioyoni mwetu. Ni Tofauti ya mawazo tu.

    Cha maana zaidi ni kwamba, tuweke mbele “more love” na “under standing”. Vyote hivyo vikifuatiwa na ile kubwa yake RESPECT, katika kuelewa mambo. Mimi sijui wewe na wewe sikujui mimi. Juu ya nini chukia mimi?????

    This Is Him…… I mean The Great Black…. Blackmannen

  2. mwandiga Says:

    Thanks Blackmannen maneno yako sheria,hats off to you dude.
    BC members ‘one love’.

  3. Mattylda Says:

    Jamani mimi ndo nimechelewa kuwatakia hiyo Happy valentine ila ilikuwaje???nasikia ni siku ya fumanizi Blackmannen unasemaje?

  4. mr degree Says:

    Mimi sijui wewe na wewe sikujui mimi. Juu ya nini chukia mimi????? ha! ha! haa! it sound like a chorus!


Leave a comment