Leo ni siku ya wapendanao duniani au maarufu kama Valentine’s Day.Ni sikukuu ambayo zamani ilikuwa ya “kimagharibi” zaidi kabla ya kuenea ulimwenguni kote.Sina mengi sana zaidi ya kuwaambieni wasomaji na watembeleaji wote wa BC kwamba tunawapenda na tunawatakia sikukuu njema.Enjoy!
Recent Comments
winnie on GEA HABIB | |
REHEMA DOUCH on “ANITA” KUTOKA KWA… | |
SPC zoo on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… | |
Mattylda on LIYUMBA AINGIA MITINI! | |
watu bwana on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… |
This work is licensed under a Creative Commons Attribution-Noncommercial-No Derivative Works 3.0 Unported License
Mimi nawatakia “Valentine” njema” wanaBC wenzangu wote hapa. Nawaomba tuzidishe Mapendo na Maelewano. Tuheshimiane katika utoaji wetu wa maoni. Vidole vyetu vya mikono yote miwili havilingani kwa urefu. Kwa hiyo, tunapotofautiana katika maoni, tusiweke chuki mioyoni mwetu. Ni Tofauti ya mawazo tu.
Cha maana zaidi ni kwamba, tuweke mbele “more love” na “under standing”. Vyote hivyo vikifuatiwa na ile kubwa yake RESPECT, katika kuelewa mambo. Mimi sijui wewe na wewe sikujui mimi. Juu ya nini chukia mimi?????
This Is Him…… I mean The Great Black…. Blackmannen
Thanks Blackmannen maneno yako sheria,hats off to you dude.
BC members ‘one love’.
Jamani mimi ndo nimechelewa kuwatakia hiyo Happy valentine ila ilikuwaje???nasikia ni siku ya fumanizi Blackmannen unasemaje?
Mimi sijui wewe na wewe sikujui mimi. Juu ya nini chukia mimi????? ha! ha! haa! it sound like a chorus!