BONGO CELEBRITY

All You Wanted To Know But Didn’t Know How and Where

MISS WORLD MPYA APATIKANA,SIO RICHA! December, 1, 2007

Filed under: Breaking News,Developing News,Miss Tanzania,Urembo,Watu na Matukio — bongocelebrity @ 9:15 AM
Tags:

 

Mrembo wa Tanzania,Richa Adhia,ameshindwa kufurukuta katika mashindano ya urembo wa dunia (Miss World 2007).Mashindano yamemalizika dakika chache zilizopita na taji la dunia limekwenda kwa Miss China 2007,Zin Lin Zhang binti wa miaka 23 kutoka jimbo la Hei Bei lakini hivi sasa mkazi wa Beijing.Mshindi wa pili ni mrembo kutoka Angola barani Afrika,Micaela Reis na wa tatu ni kutoka Mexico,Carolina Moran Gordillo.

Waliongia tano bora ni Angola,China,Mexico,Trinidad & Tobago na Sweden.

Tatu bora ni Angola,Mexico na China ambaye ndio ameibuka mshindi.Endelea hapa kuona picha za washindi watatu wa mwanzo.Baada ya hapo unakaribishwa kutoa maoni na sio kashfa,kebehi au matusi.

 

Miss World 2007,Zi Lin Zhang kutoka China.

 

Mshindi wa tatu,Miss Mexico,Carolina Moran Gordillo.

 

Mshindi wa pili,Miss Angola 2007,Micaela Reis.

Picha za washindi kwa msaada wa mtandao wa mrembo wa dunia,Miss World Organization.Ya Richa kwa hisani ya Issa Michuzi.

 

160 Responses to “MISS WORLD MPYA APATIKANA,SIO RICHA!”

  1. Pope Says:

    Usijali ulikuwa na baraka zetu ila kura hazikutosha…. NEXT!!

  2. TanzanianDream Says:

    Nashukuru Mungu ameona sala zangu…Haya msukuma wenu yupo wapi???huwezi peleka mtu kwa kupendeleana ambae hana vigezo halafu utake rewards njema….hiyo ndo itakuwa hivyo hivyo hadi mtakapobadilika…

    Hata hizo ngoma hajacheza mmeng’ang’ana eti Mtz mtanzania gani yule anajificha tu umeona Muafrica alivyo (Miss Ghana)???Yaani nashukuru hakukuwa na ubaguzi maana nimeona Blacks 3 white 1 na coloured 1(not Richa)…..

    Mungu tunakushukuru kwa kutuona waja wako na kuendelea kubariki vyema….Amen

  3. TanzanianDream Says:

    Kitu kizuri hakukuwa na cha kura wala kusema maswali tofauti…OOoh poor Richa hakufika hata huko kwenyewe……i doubt kama alivitu vyote walivyofanya wenzake……..

  4. Pope Says:

    Duh mdau mbona una hasira namna hiyo?

  5. TanzanianDream Says:

    Sio hasira nna furaha……….Maana alikuwa batili kama mashindano yalivyokuwa……..Shukrani ameshindwa…….

  6. TanzanianDream Says:

    Ebana kwa BongoCelebrity na watembeleaji wake wote kumradhi kwa matumizi ya neno sheenzi……….was Overjoyed hope haitatokea tena………….

  7. Pope Says:

    Hahaha Mashindano yapi batili ya ule China au ya Tanzania?

    Mi nafikiri mfumo mzima wa kumtafuta mshiriki hako poa. tumekuwa na kasumba ya kuona ni lazima Miss Tanzania atoke Dar tuu, hii inakatisha tamaa hata washiriki wengine toka mikoani, any way sijui kimsingi mashindano haya yanatakiwa yawe chini ya nani? Kimsingi yalitakiwa kuwa chini ya Wizara ya KAzi na Michezo na kuratibiwa na Basata then Basata ilitakiwa kutangaza Tender na kuwe na waombaji tofauti ambao watachujwa.
    Hii ya akina Uncle Hashim inafanya mashindano kuwa n uamuzi wa Taasisi binafsi, wao ndio wanachagua mshindi hata kabla ya Judgement ya siku ya Miss Tanzania yenyewe.

    Wabillah Tawfiq

  8. IDAMUTU Says:

    NAKUBALIANA NA POPE KWA 100% ILA SERIKALI ITAWEZA?

  9. Amina Feruz Says:

    Jamani msimshambulie dada wa watu bure katika kundi la mamiss wa mwaka 2007, nani ambaye angefua dafu mbele ya hao warembo wa wenzetu, Nani hebu mtajeni na BC atuletee picha yake hapo.

    Hata huyo anayesema mamiss wasitoke Dar peke yake, ni miss yupi wa mikoani ambaye hatoki Dar kama wapo ni wachache sana. Mamiss hao hao wakishindwa katika vitongoji vya Dar wanakimbilia kwenda kuchuana mikoani ambako wanaibuka washindi.

    Imeshatoka hiyo, mwaka jana tulibeleka mbantu naye hakufurukata hata kidogo mwaka huu tumejaribu mgoa ndio kabisa mwakani nasiye tutatafuta half caste tupeleke kama Angola. Mwaka jana tulichemsha wenyewe tungempeleka Lisa Jensen labda ndiye anawakaribia hao vimwana hapo juu, wako bombaa!

    Wasichana warembo wapo lakini hawashiriki hayo mashindano nafikiri mwaka ujao tukatafute warembo Mkoa wa Manyara kwa kabila la Wafyomi halafu tuwapige shuleee labda tutashinda!!

  10. Kazi Ipo,naona hata mita ya hapa jamaa wameanza kuiponda kamati ya maandalizi kwa mrembo wao kutokuwa katika hata hatua ya Nusu fainali.

    Ngoja tuone

  11. TanzanianDream Says:

    Mfumo mzima ni mbovu lkn mashindano ya mwaka huu yalikuwa batili kwa kuweka mtanzania asie mtanzania((debatable)….

    Kigezo kwangu ni asili na Richa hana asili ya kwetu hivyo haqualify kuwa Miss WEtu …Yes nextime wafanye mbinu nyingine lkn kama hatuwezi shiriki sio mbaya tukiacha kushiriki kuliko kufanya biashara kupitia migongo ya watu….

    Tanzania wenyewe kama wenyewe tunaweza tutafute mbongo mwenzetu aende akawakilishe sio kuomba misaada ya wahindi(nilitaka niseme wahindi koko nikahisi ntakuwa naweka lugha chafu i hope i’m not)….

    Tanzania tunaweza Bila wenyewe sema tu watu wachache wanatuharibia….tukomae nao kwanza kisha tuone mbele panakuwaje….

    Leo ni siku yangu ya kufurahi naomba msifute comment zangu as nafurahia kushindwa kwa Richa kam mhindi aliedhani ataweza na nafurahia kuwa pipo waliojifanya asili inanunuliwa wameona sasa….

    WATANZANIA WENYEWE TUNAWEZA NA TUNAWEZA SANA NA SANA ILA KUNA WATU WANATUANGUSHA….

  12. Pope Says:

    NAFIKIRI CHA KUSHUGHULIKIA NI KISIKI TULICHOJIKWALIA KILA MARA SI TULIPOANGUKIA KWANI KISIKI HAPA KWA UPEO WANGU NA NI MFUMO MZIMA WA KUTAFUTA WASHIRIKI KUANZIA NGAZI YA VITONGOJI KAMA NILIVYOSEMA, KWANGU MIMI RICHA HANA MAKOSA NA KWA MUJIBU WA KATIBA RICHA NI MTANZANIA, ILA WA DARAJA GANI HAPO NDIO SUALA LAKO T/DREAM LINAPOJITOKEZA, ILA KWANGU INABAKI SUALA LA WAANDAAJI LIANGALIWE UPYA PAMOJA NA MFUMO MZIMA WA MASHINDANO.

    Wabillah Tawfiq

  13. NDAKI Says:

    SASA WE TANZANIA NANIHII, KINACHOKUFURAHISHA HAPA NI NINI HASA?
    HUU NI UWENDA WAZIMU KABISA UNAFURAHI ETI KWA KUWA NI MUHINDI KASHINDWA?, HIVI LEO NYERERE AKIFUFUKA UTAMUELEZA NINI SI ATAKUTIA BAKORA KAMA MWENZIO KUMI NA VIWILI UNAPOINGIA NA 10 NA VIWILI UNAPOTOKA UKAMUONYESHE MKEO, ACHA UBAGUZI WEWE.
    ANGALIA POINT YA HUYO POPO (SIJUI POPO BAWA), LEO MNAMTENGA MUHINDI KESHO MNAJITENGA WENYEWE KWA WENYEWE.
    YETU MACHO.

  14. Pope Says:

    Kwangu mi huu ni Ubaguzi 100%

  15. Kimori Says:

    Is Richa the first Tanzanian representative in Miss World to be eliminated in the preliminaries? How about other representatives who did not make it, does it imply that they were also “fake” representatives to their respective countries?…I think common sense has to privail!

  16. Amina Feruz Says:

    Hivi kwani mlikuwa hamjui watanzania ni wabaguzi? Tena wa ukabila nenda pale mlimani kuna vyama vya makabila kibao.

    Sasa unamlaumu dada wa watu kashindwa hakushindwa kwa kuwa ni mhindi au mgoa, kashindwa kwa kuwa ni mtanzania na hata tungepeleka mbantu kwa mtindo huo wanoutaka hao waheshimiwa bado tungeshindwa.

    Niliuliza swali nyie mnaosema huyo Richa hakushinda kihalali ni miss gani kati ya wale aliowashinda katika miss Tanzania angeshinda miss world?

    Hakuna jibu mpaka sasa zaidi ya kukimbilia kwenye uhindi.
    Kama wanavyoshauri wengine tuache kurudia makosa yale yale yanayofanyika kila mwaka, hata hivyo washiriki wengi katika miss world waliofanya vizuri walikuwa na vigezo na upeo mkubwa zaidi ya Richa ukiangilia kuanzia elimu, na mambo mengine kama michezo na talent (sijui talent ya Richa ilikuwa nini). Kuna haja ya miss Tanzania sio tu kuchagua face au ulimwende peke yake wapeleke mtu ambaye anaweza kukidhi japo kigezo kimojawapo katika vile ambavyo vinashindaniwa ili mtu aweze kupata tiketi ya kutinga hiyo kumi bora.

    Yameshapita tugange yajayo, faida ya kuangalia mapungufu ili uweze kuboresha sio kubomoa tena! Akija mhindi mwingine kama ana talent ana weza kushinda katika michezo au kigezo chochote kilichowekwa na akaingia kumi bora na achaguliwe tu ili mradi ni Mtanzania

  17. mwalimuzawadi Says:

    Kila aliyekong’oli maoni ana mtizamo wake, ni heshima kuuheshimu.
    Swali gumu; ni lini Watanzania sisi tutaamini kuwa sisi ni sisi na wao ni wao na sio sisi ni wao au wao ni sisi?

    Tukishaamini na kutofautisha, hatutanyoosheana vidole tena, na tutaendelea kushiriki kujenga taifa letu (ili wachache waendelee kuiba)

    Nakandamiza

  18. queen Says:

    kushindwa kwa miss tanzania wala isiwe ajabu, kwani ameshindwa kukidhi haja za mashindano na sio kwa kuwa ati ana asili ya uhindi!Yuko wapi huyo mwenye asili ya tanzania aliwahi kushinda? kushinda au kushindwa ni matokeo ya mashindano.Hapa kinachotakiwa zaidi ni kujifunza zaidi kutokana na makosa.Iko siku tutashinda tuu kama tutazingatia kile kinachohitajika katika mashindano.asiyekubali kushindwa si mshindani.Pole Richa karibu nyumbani upumzike nadhani pia umejifunza mengi huko.

  19. TanzanianDream Says:

    Nyie watu bwana sijui mkoje???Huyu Muhindi kashindwa na mimi nafanya party kwa sababu hiyo….Huwezi sema tungepeleka mweusi ingekuwaje kama hatujapeleka kwa sababu hujui angeparticipate vipi kwenye mambo yao na angeweza kufika wapi kwahiyo hapo hakuna point….

    Kikubwa ni kuwa wale mliosema kuwa Muhindi atarudi na ushindi ili tunyamaze naona mnaanza kutafuta njia ya kutukubalisha kushindwa kwake…..

    Heheheh katika suala la kuiwakilisha nchi kimataifa kitu kikubwa kinachoangaliwa ni uraia lkn kwenyes suala sensitive hivyo asili inanafasi yake ambayo Richa hana…..

    Kaenda na vinyago vyake naona atarudi navyo….Cha ajabu ilikuwa inabidi niweke concentration kwa Mamiss weupe zaidi ili niweze kumuona Miss Wenu kuliko kuweka kwa watu weusi….

    halafu best part ya hayo mashindano ni pale walipokuwa wanatangaza ile kumi nyingine maana ilibidi nibane korodani ili tu huyu mdosi asishinde maana watu mngechonga mnooooo…….

    Heheheheh I’m Happy Mtu alietaka kujifanya ana asili ya Tanzania kashindwa MiSS World na wewe unaetaka kumsingizia Nyerere naona unakosea sana….

    Nyerere alikuwa anataka tusiwe na ubaguzi lkn tujue kuwa sisi ni nani…which i’m surely Richa ni Muhindi anaetafuta asili ya Tanzania…..

    Baba amechanganya na mluguru mama kachanganya na mpemba sijui yet anacheza ngoma za kisukuma hamshtuki nyie??????

  20. TanzanianDream Says:

    Kuna mtu anazungumzia Ubaguzi hapa lkn anasahau kuwa upendo unaanzia ndani halafu ndo unatoka nje….kuna mtu mmoja maarufu mwenye busara alisema”lazima uipende familia yako kwanza ndo umpende jirani”….

    We unaetaka vyama vya makabila visiwepo nadhani hujui historia ya Tanzania…..

    Sijui wakisema utamaduni wewe unaelewa nini?? au wewe ndo wale watoto waliozaliwa Dar hawajui hata wanatoka wapi wao historia yao na tamaduni zao japo kwa kuambiwa tu hawazijui …..

    Haitashangaza kutokuifahamu nchi yako inakwenda pia…..

    Tanzania tunaweza wenyewe kama wenyewe sema wachache wanatuharibia…..

  21. mtz Says:

    Nyinyi watu wa bongo, washamba. Mnababika na vitu visivyo na maana. What’s Miss World, by the way. Angalia TV yoyote au gazeti lolote Marekani uone kama kuna habari ya Miss World

  22. TanzanianDream Says:

    hakuna cha mtu wa bongo wala mtu wa marekani……..Halafu kwa sababu wameshindwa hawawezi ipa priority hiyo habari ………

    Halafu usiseme kubabaika as tupo stage tofauti kimaendeleo(fikra,uchumi,siasa,jamii n.k)

    I hope nextime utakuwa unaongea kitu cha bongo kama bongo na cha Marekani kama Marekani…

  23. Nana Says:

    Mungu asante sana hakushinda kwani huko alikuwa kazi ya kuongea kihindi tu na waindi wanzie.Ni huku bongo mmezoe kuonga kwa kina LUNDENGA ndio maana kashinda.

  24. Nana Says:

    Tanzania Dream nina zawadi Mimi na wewe ndio tulikuwa hatumtaki kabisa ingawa tuliitwa wa baguzi.

  25. TanzanianDream Says:

    heheheh Nana……….Leo naweza hata kesha hapa naangalia comments tu na kuzijibu….huu uwanja ni wangu na yeyote anaekereka aongee na ISP wangu wanikatie net otherwise wacha nimalize likizo kwa mbwembwe

  26. sweetie Says:

    i love ua comment tzdream big up tusherekee woooooooottttttttttttttttteeeeeeeeeeeeee,,,

  27. Nana Says:

    TANZANIA DREAM NITUMIE EMAIL YAKO UNAPATA ZAWADI YA CHRISTMAX

  28. TanzanianDream Says:

    heheheh Nana sijui nikutumie wapi……..otherwise hapa wapuuzi watanitukana wakiijua……..

  29. Nana Says:

    Kwani huko Tanzania? mimi siishi Tanzania

  30. TanzanianDream Says:

    heheheh pia siishi tanzania

  31. Nana Says:

    TanzaniaDream naishi Sweden na Norway lakini kwa sasa niko Sweden. Ingekuwa vizuri kama huko ulaya niraisi kuwasiliana Sasa wewe huko nchi gani?

  32. TanzanianDream Says:

    India sio ulaya…..nipe email yako ntacontact huko huko…….

  33. Nana Says:

    Tanzania Dream kesho nitatuma namba si unajua watu wakijua ad…. noma namba raisi naweza kubadilisha nikituma hutanipa contact zako.Usiku mwema kesho

  34. TanzanianDream Says:

    Usiku mwema na wewe Nana…….Otherwise kwa wale wapenzi wa Richa kwa mara nyingine Nafurahia na kushereheka kuanguka kwa Richa katika kinyang’anyiro cha Miss World Sanya China………..

    Thnx wote tulioomba ashindwe na Mungu atubariki….Amen

  35. waheda Says:

    usivunjike moyo dada richa hiyo ndio hali ya dunia ukishindana jiandae kushinda ama kushindwa ndio mambo ya game jaribu for thenext year

  36. TanzanianDream Says:

    heheheh Waheda umenichekesha sasa……Ajaribu Next Year mashindano gani??Labda Face of Africa muone kama hata form zake zitapokewa….

    Huyu hapo ndo imetoka ikirudi Pancha tena….Anaandika sababu huko halafu atajifanya na yeye mbongo aanze kusema amebaguliwa n’ kumbe ni nature ya wahindi kujibagua…..

    Hapo mbinu ni kuwa hiyo Miss Tanzania iwe chini ya wizara ya michezo na utamaduni(kama bado iko joint)then viwekwe vigezo ambavyo watu wote watavijua special talents ziwe ndo key maana wagombea wote wana vigezo mara nyingi….

    otherwise wahindi waambiwe hiyo hata waje na passport nyeusi haiwahusu inawahusu maalbino weusi tu wa kitanzania labda na waarabu maana tunashare nao history na wengineo wote ambao history inawafanya wabaki kwa ardhi yetu ila sio hawa illegal migrants….

    Tanzania tunaweza tena sana ya sana kweli ila wachache wanatuharibia…………..

    Pamoja…..

  37. Pope Says:

    Hivi unaposemakwenye kuwakilisha taifa lolote uraia halisia una pewa kipaumbele, nikuulize, hivi unaijua National Team ya France? unajua kama 60% kama si zaidi ni Wafaransa weusi wenye asili ya Africa na wengine kwa kuukana uafrica?, kwani wengi wao wametokea Africa Magharibi na Nchi zinazozungumza Kifaransa.
    Mbona FIFA hawasemi kuwa waao si raia (Wafaransa)?
    Acheni zenu huyu hajashinda kwasababu ya vigezo vya Miss World si kwa sababu ya Uhindi wake, by the way ye si wakwanza kushindwa. Haya na wa Uganda au Kenya, Djibout, Ethiopia na kwingine? nao walipeleka wahindi Eeeeeeh Baba?, kama ni hivyo mbona Mhindi halisia wa India hajashinda? Kama unasema hajashinda kwakuwa ni fake inamaana wengine walioshindwa ikiwa ni pamoja na USA, UK na kwengineko nao ni “FAKE”. Kimsingi simtetei huyu Richa ila siitaki point yako ya kusema kashndwa kwa sababu ni Mhindi, najua una haki ya kutoa maoni yako, ila nami nina haki ya kuyajadili maoni yako kama ulivyo na haki kwangu pia. Sikukatazi kusherehekea kwani “sio wote waendao kwenye Ngoma wanadhamira moja…”, hatawewe kusherehekea kwako inawezekana una dhamira yako moyoni.

    Ila naweza kupata jibu kwa nini unamchukia, umesema uko India, mi pia niko Asia (si India) najua taabu unayoipata India, pole sana badili kiwanja hutakuwa hivyo, hata mtazamo wako utabadilika T/Dream.

    Wabillah Tawfiq

  38. mwalimuzawadi Says:

    Sijawahi kufarahi kusoma maoni ya watu kwenye blog hii kama leo hasa tanzanian dream na Nana nyie watu ni balaa.

    Tumezoea washangiliaji wa ushindi, leo kiwanja kimetawaliwa na washangiliaji wa pwaaah yaaalaaah

    Si ubaguzi wala nini, watanzania tusijidai wazalendo barafu hapa, mambo yalikuwa yameoza ila watu wanaogopa kusema ukweli

    Ila mmenifurahisha sana misimamo yenu biiiiiigggggg uuuupppppppsssssssssssssssssss sana tanzanian dream na nana.

    Mimi sifikiri mtu kuwa India ndo sababu ya kuchukia wahindi, ukweli mpende akupendaye punkt!

    Nawasilisha

  39. Pope Says:

    MwalimuZawadi naona msimamo wako ingawa hutaki kuuweka wazi… ila natumai utasema muda si mrefu

  40. IDAMUTU Says:

    Pope kama wewe ulivyokuwa unaficha msimamo wako kwa Richard. Kwangu mi wote mko sawa ila kwanini mnamtetea kupita kiasi?

  41. Pope Says:

    IDAMUTU, KIASI NI KIPI KWAKO?
    KIPI KWAKO NI KIASI? INAMAANA UNA LEVEL YA KIASI KWA KUTETEA NA LEVEL YA KIASI KWA KUNDAMIZA NAJUA ITAKUWEPO.
    KWA MTAZAMO HUO WOTE TUMEPITA KIASI.
    NIKIRUDI KWENYE POINT MI NAONGELEA GENERAL SITUATION, AMBAPO POINT YANGU KUBWA NI KUWA NAULALAMIKIA MFUMO MZIMA WA MASHINDANO NA PILI SIKUBALIANI NA RICHA KULAUMIWA YEYE KAMA YEYE KWA SABABU YA ASILI YAKE!! TUNATAKIWA KUJIULIZATUMESHIRIKI MARA NGAPI(SI KUSHINDANA, ANGALAO ANGOLA WAMESHINDANA) THE FROM THERE TUANGALIENI MARA NGAPI TUMEVUKA HATUA YA RICHA, KAMA SIO NANCY PEKE YAKE. JE WALE WENGINE NAO WALIKUWA WAHINDI?

    Wabillah Tawfiq

  42. Nick Says:

    hey don’t worry..you still beautiful! it’s your gift from God so hopefully next time you’re gonna win it!

    God bless you always!

  43. TanzanianDream Says:

    hehehehehe nimeamka na nguvu kama Simba ambae haja…….!!!Nway Pope umezungumzia Timu kuwa na wachezaji wanaobadilisha uraia.Je umejiuliza kwanini timu zinakuwa na wachezaji waliobadili uraia???

    Jiulize kwanini Brazil hakuna watu wanaobadili uraia ili waingie national team….then utajua kwanini simkubali Richa….

    Watu wengi wanabadili uraia kwa sababu ya vipaji vyao ili wapate nafasi kwenye nchi wanayopewa uraia….

    Mfano France ina weusi wengi kama unavyosema.Simply France haina vipaji ndo maana inakimbilia kuchukua vipaji nje ili kuipa team ya taifa nguvu Swali ni Je Tanzania hatuna warembo hata tumpe Richa nafasi ya kutusaidia?????

    Mnazungumzia wabongo wetu walifika wapi katika hii michuano hata tupate nguvu ya kuuliza why Richa kafeli….

    Nakumbuka mbongo aliefika mbali Miss World alikuwa Hoyce Temu 1999 tukasubiri then Nancy akaja kuchukua nafasi ya juu 2005…Wote hao ni wabongo kwa asili sasa leo utaniambiaje kuwa wenyewe hatuwezi hata tupewe msaada????

    Kila nchi ina historia yake na ndo inayoifanya hiyo Nchi iwe na dira….Tanzania tumetawaliwa na Waingereza,Wajerumani na Waarabu kwa njia moja au nyingine….Bila shaka hawa watu lazima waliacha viasilia vyao kwa aunt zetu kwahiyo uwepo wa mtu ambae asili yake inabebwa na historia hii haumnyimi huyu mtu asili as mizizi ipo lkn Wahindi je???Ni kweli Richa alikuja na Monsoon au alikuja wakati wa Vita ya pili ya dunia tu???

    Yeah i’m proud kuwa mbaguzi kwa sababu Sijamaliza bado kuwapenda watu naotakiwa niwapende kiasi nifike kumpenda mhindi….

    Nilidhani muhindi wenu anajua hizo ngoma yet nimeona kashika vinyago tu hajui vya kufanya navyo kama Mzungu wa bagamoyo kwenye ngoma….

    Kama yalivyokuwa mashindano batili na Ushindi wake ndo ulivyokuwa…..

  44. Amina Feruz Says:

    Huyo anayezungumzia kuhusu vyama vya makabila ndio wale wle sie kabila letu bora lao baya. Kwa taarifa yako sikujiunga na chama chochote cha kikabila kwa sababu sikuona faida yake kwanza sikuzaliwa Dar pili nimechanganya makabila, sasa ulitegemea nijiunge na kabila lipi. Na nina ndugu (through inter marriage wa makabila tofauti) sasa mwezetu labda wewe ni Mkenya au Mnyarwanda au Mrundi. Sishangai comments zako kwa sababu mazingira yamzungukayo mtu ndiyo yanachangia kutengeneza mtazamo na fikra zake. Na wewe uko India ni hako yako kuwa na hizo fikra ulizo nayo kwani ikiwa wahindi wenyewe kwa wenyewe wanabaguana kulingana na caste system waliyonayo sembuse wewe mtu mweusi. Pole sana lakini pia sio sababu ya kututaka na sisi tukubaliane na msimamo wako wa kibaguzi, mazingira tuliyoishi au tuliyomo hatukujifunza hayo.

    Nasijui mwenzangu kama huko kwenu ulishaenda japo kuhamasisha shughuli za maendeleo au ndio nyie wanawasubiri siku ya kupeleka majeneza wayapokee.
    Raha mle wenyewe peke yenu mijini, sherehe za birthday, kipaimara na harusi zote mwazifanyia mjini, misiba mnawapelekea kijijini!

    Kushindwa kwa Richa ni kawaida kama walivyoshindwa wengine simtetei lakini sioni sababu ya kumsema dada wa watu kwa sababu tu ya mindset kuhusu uhindi. Wangapi walioshiriki walishinda mpaka huyu aliyeshindwa mwaka huu awe kituko, zaidi ya Nancy Sumari ambaye hata kina Lundenga walimkana kua hafai na akasimama kidete akashinda. Kama alivyosema Pope tatizo sio Richa tatizo ni huo mfumo wa kutafuta miss na vigezo wanavyotumia.

    Na sio news za kutufanya eti tuache shughuli zetu za maana zaidi ya kustarehesha baraza.

    Na siwezi kuiga tabia ya kibaguzi eti kwa sababu tu mimi nabaguliwa au nina machungu ya kubaguliwa, bado nitafuata mafunzo yale yale nilyopewa tangu utotono kuwa Mungu alituumba makabila (watu wanaaongea lugha tofauti) na rangi tofauti ili tu tuweze kujuana na si kubaguana.

  45. TanzanianDream Says:

    Nway sipendi kuongea theory hapa….Siwezi kuwa mbaguzi ndani ya kabati tu halafu nje nijifanye napenda wote…Dunia imeumbwa na binadamu aliewekwa alikuwa selfish ndo chimbuko la ubaguzi…

    Nway kila mtu ambae hayupo nyumbani kwao kwa njia moja au nyingine kubaguliwa ni kitu cha kawaida na ni acceptable maana hayupo kwao…Kama una tatizo na hilo then hujatulia ghorofani….

    Ubaguzi kutokuwepo ni impractical kwa sababu kila mtu ana asili yake ambayo anaijali kama ulivyosema vijiji hapo ndo unapojua kuwa Asili zinatukuzwa otherwise usingejifunga…..

    Hata Mtumwa anayo sembuse Richa kwanini mtake awe MTZ wakati ni Muhindi…Eehn Mzungu hata akukuruke vipi asili yake lazima inagomba ULAYA tu huku kwingine historia tu itamlinda …..

    Vyama vya makabila navitetea kwa sababu ndo vinavyofanya Tanzania iwepo na dunia kwa ujumla…Eeehn kila kabila lina asili yake na hata Nyerere Mwenyewe alistaafu akarudi kwao kama kusingekuwa na umuhimu angeenda Mtwara kuweka makazi si ndio alikuwa shujaa Kupinga ukabila kwahiyo ujue kuwa in every way kuwa Kila mtu ana kwao na Richa Bongo sio kwao….

  46. Pope Says:

    Umeshakubali kuw wewe ni mbaguzi sikulaumu kwa hilo kwani hapa tunatofautiana kama dada yangu Amina alivyosema, sikulelewa kubaguliwa, binafsi nimezunguka sana na kufika mabara yote najua machungu ya kubaguliwa ndio maana siwezi kukubali kuona hiyo tabia tumekulia kwenye mazingira tofauti kinachofanyika ku STEREO TYPE TU kila mmoja imemkaa kichwani kuwa wahindi wabaguzi na we ndio maana unawachukia. Hoja si ubaguzi kwangu hoja ni kwa Richa kama Richa, kwangu mi atabaki kuwa Mtanzania kwa mujibu wa Katiba yetu ambayo ndio muongozo wa taifa letu na nitamtambua kama Miss Tanzania hata kama makosa yamefanyika ndio ameshakuwa na ndio kamati mlioikubali kufanya kazi hiyo.
    Tutafute tatizo lilipo.

    Wabillah Tawfiq

  47. Edwin Ndaki Says:

    Oyaaaaaa we unayejiita NDAKI….ilo jina umelipia VAT?

    Mbona wakina ndaki hatukoa na mitazamo kama yako?

    Jaribu tu angalia WALUZANDA NDAKI wa The Gardian Ltd au mimi hapa muosha kinyw EDWIN NDAKI..nitashukuru kama utakuwa unaweka na kajina ka PILI ili watu watofautishe WATU NA VIATU…

  48. smart boy Says:

    inaonekana wote mnaojadili mmekosa kazi za kufanya au mnashindwa kujadili jinsi ya kuendeleza nchi kwa kuwaondoa mafisadi na kuleta maendeleo mnajadili watu wanaokaa uchi na kuharibu mila na desturi za kitanzania.Maoni yangu ni kwamba tanzania bara nasema hivyo kwa sababu zanzibar hawajishugulishi na ujinga huu tujitoe kabisa kwenye mashindano coz hayana faida

  49. TanzanianDream Says:

    hehehe Katiba inamtambua Raia wa kuzaliwa,kuhamia(kujiandikisha) na Asili….Sijui kwanini kuna uraia wa Asili ila najua kuwa kama isingekuwa muhimu wangesema hizo tofauti zisiwepo na yote iwe ni sawa sawa….

    Hehehe Atleast i got balls to admitt kuwa mimi ni Mbaguzi ila nyie mnaofanya ubaguzi behind scenes ndo wabaya zaidi Huo ni UNAFKI TU…..

    Smartboy ofkoz hata wewe umekosa cha kufanya ndo maana umekuja hapa ukajibu otherwise tusingekuona hapa….

  50. Kimori Says:

    Dear Editor,

    Do you still think the moderation of comments is not necessary?….Unless you want this to be a chat room!

  51. kijana Says:

    kweli kabisa hali inaonekana ,huyo miss wenu hamkuwa manmpenda ,sasa kwa nini hamkunipelekea kijana wangu Lilian Abel jamni mngeona matunda ya natural beuty.si mlibubuwazwa na ule usecretary aliokuwa anawafanyia watu wa kila aina ,sasa matunda yake hayooooooooooooooooooo.

  52. kijana Says:

    na kam sio upumbavu au upuuzi kwa nini anamlaumu lundenga kukosea kutuma DVD ,It means picha zilienda kutengenezwa za kugushi kwa muda wote huo alikuwa anajau kuwa ataenda miss word ?kazi ilikuwa ni kukubalika kwa kutengezeza feki ndo maana zikachelewa,so tuache kufoji .

  53. TanzanianDream Says:

    hehhehe Kijana…

  54. Dinah Says:

    Hongera kwa kushindwa Richa, kazi uliyonayo hivi sasa na kuwaambia Wahindi wenzako waache ubaguzi ndani ya nchi za watu.

    Kwa wahindi wengine: Kama unataka kujiita Mzt au kuwakilisha Tz basi adopt utamaduni wa kitanzania.

    Na nyie mnaowaita Watanzania weusi ni Wabaguzi ni wazi kuwa hamjui nini maana ya ubaguzi au hamjawahi kuishi na hii jamii ya Kihindi.

    WATANZANIA SIO WABAGUZI BALI WANAHASIRA NA VITENDO VYA KIBAGUZI VINAVYOFANYWA NA JAMII YA KIHINDI.

    Kuna tofauti kati ya hasira, chuki na ubaguzi…….msichanganye mambo 🙂

  55. Pope Says:

    Dinah mi nimekaa na wahindi pamoja na Mheshimiwa “BC” tumeishi mtaa Mmoja Allykhan Upanga 285 kwa miaka 27, sasa sijui unaongelea kuishi nao kiaje? ni kweli kuna ubaguzi lakini ni baadhi na wengi wao waliopo saa hizi ni kizazi cha pili au cha tatu ambacho kimezaliwa Tanzania.
    Wengi wa hawa wamesoma shule na watanzania na kuingiliana na Watanzania kwa njia moja au nyingine kwani baadhi ya watanzania wana marafiki wa Kihindi na V/Versa.
    Mi sikatai moja kwa moja kama hakuna ubaguzi la hasha ninachokataa ni “kumshadadia” huyu kuwa kashindwa ooh eti sababu Mhindi mara ooh si Mtanzania, kwani husikii waKenya wakibadili uraia ili wakakimbie Marathon kwa Bendera ya Qartar, Holland, na kwingineko? Sheria yetu inasemaje kuhusu status ya Uraia ya Richa?

  56. G'luv Says:

    Kwa kweli naungana na dada Dinah. Hawa wahindi ni wabaguzi maana wako hapa kwetu kwa miaka yoote lakini hadi leo wanajifanya hwawezi kuzungumza kiswahili fasaha. Sio wenzetu hawa, wanataka kufanya biuashara tuuuu. Na hawawezi kutuwakilisha!!

  57. JJMushi Says:

    mimi nawapa heko wote wanaowakosoa wahindi wa bongo. hawa watu ni wabaguzi hakuna mfano.sijawahi kusikia mhindi kafunga ndoa ya msikitini wala kanisani na mtanzania mweusi.labda kuzaa nao mitaani! sisi tunawafagilia wa nini mbona wao wanatubagua kama kweli ni watanzania? mie nasema Richa mhindi wa Bongo.hakufaa kutuwakilisha wabantu wa bongo!

  58. Radhia Says:

    Naona leo furaha Richa kashindwa kwani kila kona ya gazeti ni kumkandia.Kwa michuzi watu wanampaka matope
    Mpaka mmoja kasema HOYCE chozi lake ni lakweli ni mfano kwa.Kina lundenga waliozowea Rushwa. Pia china kagutukiwa kwenye fail lake ameshiriki mara mbili.Upumbavu wa Lundenga na waindi wake hawajui kwamba mtu ukitoka nje ya nchi,Details zako zinabaki Airport pale ukigongesha Passport heeee.Na bado hili ndio fundisho kupeleka watu wasio na asili ya kibantu.
    Sidhani kama anajua kusonga ugali au kumvalia bwana shanga au kucheza mchiriku.Siku nyingine mpelekeni mwenye asili yake.Nashangaa watu wengine wanaomtetea.

  59. shuwaini Says:

    RIP RICHA!

  60. kinono Says:

    Hongera kwa ziara yako ya kuosha macho. Sisi tulijua ulienda kutalii tu. Sijui umekaa siku ngapi na utarudi na picha kiasi gani za kutuonyesha.Tunakusubiri mjee mtuongopee kwa kina kwanini ulishindwa. Ushauri ni kwamba SIKU NYINGINE USIKUBALI KUTUMIWA MADHARA NDIO HAYA. Pole sana.

  61. Majita Says:

    Leo kwa mara ya kwanza nakubaliana na kuungana na Dinah wakati huohuo nikitofautiana kidogo na Ndaki (Wamai).
    NAKUPONGEZA SANA RICHA KWA KUFIKA SANYA, WASIWASI WANGU NI KUWA LABDA UNGEPOTEA.Nionavyo mimi hata huko kuchelewa kutajwa ni ushindi.Ulistahili kutajwa wa kwanza kabisa kutolewa.

    Wale wanaofananisha timu ya mpira wa miguu-soka na umiss poleni sana.Yani timu ya watu 11 uwanjani unafananisha na timu ya mtu mmoja uwanjani??Kaaazi kwelikweli

  62. mkata issue Says:

    HASIRA YA KWANZA:
    Iwamwagikie Lundenga & Washarika wake, kwa kuendekeza rushwa na ushamba wa kufikiri kuwa ngozi hafifu yenye mtindio wa melanini ndiyo mali katika mashindano ya ulimbwende na ukosefu wa aibu na hekima wa kushupaza shingo hata dhidi ya vilio vya watanzania wenye upeo mpana wa kufikiri kwa utamaduni mliojianzishia wa kufikiri kuwa watokao jiji chafu la Dar ndio tu warembo wanaostahili.
    Kutesti litimasi, Lundenga hebu tangaza kuwa umeamua kujiuzuru na kuacha kuendesha hayo mashindano ili wengine nao wajaribu uone rangi itakayotokea katika blogu, magazeti, television na hata katika maongezi ya kawaida vijiweni, maofisini na hata ktk saloon n.k
    Hivi kwa nini mwanadamu makini aendelee kuwa katika huduma ambayo hakubariki kama sio udikteta wa kijamii ambao anguko lake huwa ni la PWAAAAAA!!! Jina lako na akina sijui Chips n.k yanakinaisha watu sana sawa na Mugabe, akina Kingunge n.k ktk jukwaa la siasa. Ebu sikilizeni sauti ya Rose Mhando ‘Mtupishe tupite’!

    HASIRA YA PILI:
    Imvue nguo Issa Michuzi na Waandishi njaa wenzake wenye asili ya Usadukayo, Ufarisayo na Upetro. Kwa kujifanya kumfagilia kwa nguvu zote na kutuletea vipicha uchwara kila siku kila wakati mahala popote pasipo hata kuwa na uwezo wa kutambua ukweli na feelings za Watanzania walio wengi juu ya kuchaguliwa kwa Richa.
    Lakini hata kabla jogoo hajawika mara moja, Michuzi anashuka bila aibu na ka kichwa ka habari eti ‘Richa -pwa’. Sasa unategemea watu wenye ubongo usio na ulegevu tumweleweje? Utafikiri mwandishi wa ex-form four failure aliyeajiriwa ktk kijarida cha Udaku!! Kisa? Eti Oprah wa Bongo? Upuuzi mtupu (hili ni kosa la kwanza la da Chemi- nimekusamee). Leo nakuondolea uvivu Michuzi ukome mtindo wa kuwakandia Watanzania walioko nje (eti unatuita kuwa sote tunananii vibibi!!!) simply kwa sababu ulikoswa hiyo nafasi na sasa unabebwa ktk stahili ya kiufisadi chini ya mwavuli wa ‘yellow journalism.’

    HASIRA YA TATU:
    Iwalegeze wale wote wanaishi katika kuwagandamiza bila sababu wenzao ama kwa kutumia nafasi walizo nazo au elimu au uchumi wao na hata nasaba zao.
    Hakika tunawaonya Watanzania wenzetu wenye asili ya kihindi na hata wahindi wasio raia ambao wanafanya biashara au kuishi Tanzania na huku wanajibagua na kubagua wengine, kuwa wasome alama za nyakati! kizazi hiki cha utandawazi hakitavumilia maudhi ya namna hiyo yaendelee. Eleweni kuwa ukibagua tu nawe utabaguliwa hapa duniani na mbinguni. Vile vile hili ni fundisho hata kwa wengine wowote bila kujali wewe ni mwenyeji au si mwenyeji, tujifunze kwa kuona matatizo yanayoikumba sasa Ufaransa pamoja na kwamba timu yao ya soka inawasilisha msawazo.
    Kwa uchungu nawalilia sana jamii ya Wahindi (wenye upeo finyu) maana wameibua matusi mengi yamwendee Richa hata bila kustahili. Ebu jichanganyeni na wenzenu wasio wa asili yenu, ebu kubalini hata kuoa au kuolewa nao (mbona mnafanya nao mapenzi?), ebu umtreat HG (sio zebaki)na HB (sio hemoglobini) aliye nyumbani kwako kama binadamu na kwa kumlipa ujira anaostahili, ebu toweni misaada na kuingia kwenye kila aina ya kazi na sio siasa tu na nafasi za asasi zitakazowapa ka-imyuniti ktk biashara zenu!!

    SIKITIKO:
    Richa pole sana maana kheri kushindwa huku unakubalika kuliko kushindwa na huku unatukanwa kwa ajili ya baadhi ya watu wenye asili yakona mfumo uliokuweka katika nafasi fulani ktk jamii.

  63. gasto Says:

    Wahindi kweli wabaguzi hili halina mjadala, but dhambi itaendelea kuwa dhambi tu kama itafanywa na mhindi, mzungu, mchina ama mswahili, dhambi ya ubaguzi itaendelea kuwa dhambi tu,so tusihalalishe dhambi ya ubaguzi kwa kuwa sie tumefanyiwa ubaguzi nilazima nasi tulipize kisasi, kulipiza kisasi kwetu kwa njia ya ubaguzi kutaendelea kuwa dhambi vile. mie richa simuoni kama anamakosa hata kidogo na hakustahili hukumu anayobebeshwa kwa kuwa richa hakwenda mwenyewe kujitangaza miss kinondoni wala miss tanzania, huu mzigo wa lawama wa kuwachagualia watanzania mtu aliyekuwa si sahihi ulipaswa kubebeshwa kwa lundenga na timu yake kwa inferiority complex waliokuwa nanyo juu ya indegenous.

  64. Pope Says:

    NAKUBALIANA NA MKATA ISSUE NA GASTO KWA 99.9%
    MKATA ISSUE NAKUBALIANA NA WEWE KWA HASIRA YAKO YA KWANZA NA YA TATU KIUKWELI KABISA UMECHAMBUA NA KUJENGA HOJA VEMA NA GASTO NAKUBALIANA NA WEWE KWA YOTE KUNA HOJA KWENU, KUNA POINT KWENU

  65. TanzanianDream Says:

    Its Monday n’ stil Celebrating Kushindwa na kuanguka kwa Dola ya Richa….Heheheh Weekend imekuwa njema kabisa kasoro Arsenal hakufungwa tu….otherwise tugange yajayo sasa……

    Its Yo bwooy ………….

  66. koku Says:

    jamani swala si uhindi swala ni kuwa huyu miss tanzania 2007 alikuwa feki wapo watu kama 3 hivi ambao walistahili hasa yule victiria .sasa yaliyompata tulijua yatampata ndio maana mH.Hoyce Temu alilia .she cried kwani alijua wazi kule mbele hakuna kitu kitakachoendelea.
    kuna rwatu wanasema hao wahindi waliotoa zawadi ya gari ndio walioshinikiza achaguliwe.sasa nasema kama ni kweli bora utaratibu huu wa uchaguzi ukafutwe.

  67. koku Says:

    Richa asilie na akifika airport hakua haja ya kumhoji kwani sabau za kushindwa kwake ziko wazikama mtu hakustail kuwa miss tanzania unadhani Miss world anaweza hata kuwa kwenye top 20.haiwezekani kabisa.
    hafadhali hata Bongo star search jumanne Iddi tulimpigia kura wenyewe .

  68. Jasmine Says:

    My coice was Lilian Abel, but she couldnt make it only Lundenga knows why!!
    Nafikiri kamati nzima imepata fundisho, hapa sio Lundenga peke yake wa kulaumiwa kwani huwa ni jopo la majaji linalochagua inakuwaje wamsikilize Lundenga kwa kila anachokitaka yeye, kwani yeye nani?? Imefika wakati inabidi watu tubadilike na sio kupelekwa tu kama MANG’OMBE.Hebu jaribuni kumsusia huyo Lundenga pindi anapoleta au kung’ang’ania mtu wake achaguliwe muone kama ataweza kuyaendesha hayo mashindano akiwa peke yake!Ila kwa sababu nyote lenu moja hamuwezi kufanya hivyo(WANAFIKI),halafu inappokuja lawama mko kimya as if Lundenga alikuwa peke yake.
    Watu kibao wanashikiri wenye vigezo vinavyostahili kimataifa mnawaacha, mnachukua wenye vigezo vyenu(atakae kubali kuwa kiburudisho chenu), acheni hizo bwana mmeshakuwa watu wazima na familia zenu kwa nini mnyanyase watoto wa watu??siku moja yatakuja warudia kwa binti zenu, hapo ndio mtakapobaini na kufuata vigezo sawia.

    Ahsante Mungu, dhamira ya kamati ya mafisadi wa urembo nchini(chini ya Lundenga) haikufanikiwa!!
    Amani kwa mabinti woote mliowahikukatishwa tamaa na kina Lundenga kwa sababu tu hamkufuata masharti yao ya kipuuzi!!

  69. danielle Says:

    hongera richa kwa kushindwa!!!!!!!!!!teh teh teh!!!!!!!

  70. Doreen Says:

    Ahahaah!Kama mdau wa wa Bongocelebrity utakuwa unanijua na niliongea toka ijumaa,Nyota njema huonekana asubuhi,Alikuwa sio mbunifu ndio maana,Ona wa Angola alivyokuwa shap,Nexty tym msitufanye kama mlivyotufanyia ivyo kamati ya miss tz.Mungu husikia kilio cha wengi.

  71. trii Says:

    mmmmmmmmmmmmm tatizo alitoka na LAANA nyingi kutoka kwa watanzania,wengi hatukumkubali,MAMENO NI SUMU KALI kuliko ya nyoka,ndo hayooo matokeo.

    kila mara nasema,ingetokea msichana mweusi(mwenye asili ya kiafrica) angezaliwa india hata angekuwa mzuri kama malaika wahindi wasinge subutu kumchangua kama MISS INDIA,why TZ,ngazi ya miss kinondoni ilikuwa tosha.

    next time pelekeni MZUNGU sawa

  72. Edwin Ndaki Says:

    MAJITA….ni ndugu zake na Lundenga ndio katumia jina la NDAKI kwa manufaa yake.Siku hizi natumia Edwin Ndaki..sijui huo anayedesa hadi majina ya watu anatokea wapi.

    Tupo pamoja mwana

  73. Some Says:

    Sibabaiki na matokeo—Richa
    KUSHINDWA MISS WORLD

    na michael maurus, sanya, china

    PAMOJA na kushindwa vibaya katika shindano la Miss World mjini hapa mwishoni mwa juma, mrembo wa Tanzania, Richa Adhia, amesema hajachanganyikiwa na matokeo hayo.

    Richa, binti mwenye asili ya Kiasia, hakufurukuta kabisa katika shindano hilo kubwa la urembo duniani, lililomalizika kwa Zi lin Zhang, mrembo wa China kuibuka kidedea.

    “Katika shindano lolote lile kuna kushinda na kushindwa, si kwamba sikuwa na nafasi ya kushinda,” alisema Richa, ambaye ushindi wake wa taji la Miss Tanzania ulizua maswali mengi kutokana na kupingwa na wadau.

    “Nilikuwa na nafasi, lakini bahati haikuwa yangu tu. Mambo yalikwenda kinyume na nilivyotarajia.

    “Najua sasa nasubiriwa kwa hamu nyumbani Tanzania, najua hiyo inatokana na kushindwa kwangu, sitatetereka kamwe katika kujieleza mbele ya Watanzania, hasa vyombo vya habari.

    “Mimi si wa kwanza kushindwa, timu ya mpira (Taifa Stars), ilifungwa katika uwanja wetu, sasa iweje mimi nipatwe na hofu tena nikiwa nimeshindwa nje ya nchi yangu?” alijitetea Richa. Akionyesha kukiri jambo hilo kumchanganya, alisema kwamba kwa siku tatu atakazokuwa safarini kurejea nyumbani, atahakikisha anatuliza akili yake ili akifika aweze kuwaeleza Watanzania kila kitu kwa kina kuhusiana na shindano la Miss World.

    “Lakini kikubwa itakuwa ni jinsi ya kujipanga kuelekea shindano lijalo,” alisema Richa, anayetarajia kutua Dar es Salaam keshokutwa, akitokea Dubai, alikopitia kufanya manunuzi ya vitu akiambatana na mama yake.

  74. Some Says:

    Nilijua atashindwa.Yani hapa nilipo nasherehekea kushindwa kwake. AIBU KWA LUNDENGA NA KAMATI NZIMA YA MISS TANZANIA.Inabidi wanohusika wawape watu wengine waendeshe hayo mashindano kwani kwa sasa ni upuuzi mtupu.

  75. RICHA Says:

    jamani eti munanisema sana sameheni mimi, tawakilisha tena India TAnzania Angu nehii jamani shidano ilikuwa Gumu sana patia nafsi ingine tena mimi wakilisha ichi angu visuri kabisa thank to you all for your support during my participation in Miss world ila mimi bado suri sana Love you all,

  76. Queen Says:

    Jamani twende mbele na turudi nyuma,haya matokeo yalitegemewa kabisaaaaaa anunae na anune,Ukweli lazima tuseme.Richa tulitegemea uchemshe na umechemsha because You were not the right ambassador for us(may be you could fit to be Miss India),Mimi nimeangalia Repeat ya Miss World 2007 Channel Ten mara mbili sijakuona.Hivi ulikuwa wapi?Hata kucheza Sindimba umeshindwa? and u call urself a Tz ahaaaa ahaaa basi ungecheza Nachi.
    Waandaaji na majudge nafikiri hili litakuwa fundisho kubwa sana kwenu.Uzuri si kuwa mweupe au kufanana na mzungu.Look at Miss Ghana,she is the African Queen,yeye ni ebony black but she is just sooo beautiful.She was able to represent the African woman.Huyu ndiye alinifurahisha apart from Miss Angola who also did us proud.
    I repeat anunae na anune Lundenga na wenzio mmepata mwana ukome,I and we truly Tanzanians do not expect mrudie makosa haya,Hoyce alisema mkamwona mnoko sijui sababu mlikuwa meshapokea mlungula?Kwanza wewe Lundenga tumekuchoka Its high time waingie watu wengine wenye mawazo mapya,Umefanya hayo mashindano kama jimbo lako la uchaguzi,yaani wewe ni Mbunge na hutaki kuachia Kiti.
    Kwa leo ngoja niishie hapa.

  77. Matty Says:

    Nilijua tu hatafika mbali Richa hakustaili kuiwakilisha Tanzania ila alibebwa tu, ukweli ni kwamba 75% ya waandaaji wa wa miss Tz ni wahindi and what do you think Pope???and its time now Lundenga to resign and the chance to be taken by other people vinginevyo tutakuwa tunasindikiza kila siku.
    Hebu tukubali ukweli kwamba siku zote 99% ya wahindi ni wabaguzi kupita kiasi ndo maana hawana desturi ya kuoa au kuolewa na wabantu (watz)ukweli utabaki pale pale Richa hakustahili kuiwakilisha TANZANIA.
    Amina ukisema hukuona anayestahili kushinda miss word katika wale walioshiriki miss Tz 2007 unatatizo nadhani…hivi hukumuona Lilian Abel na Queen David wasichana wazuri they have personal beauty and ngozi ya asili wewe kalaga bao kunyenyekea white race ndo maana kachemsha.

  78. ANNA ULOMI Says:

    MZUNGU NI TRANSPARENT NO HONGO BY THE WAY.MAZOEA MABAYA,KULE NO KUCHI KUCHI OTAHE THEY NEED QUALIFICATION.NWAY NDIO MASHINDANO

  79. Immaculata Says:

    Afadhali ameshindwa maana wahindi wanatudharau sana ukiona muhindi anakuthamini ujue una kitu au wewe ni kiongozi, hawafai hawa ni sasa na mbwa tu hata nchini kwetu wangeondoka, shenzy taipu, hamkuona ile sherehe ya kumpongeza richa walikuwa wahindi, kasome shaban robet au mzizima ndo utawajua hawa viumbe

  80. Brian Says:

    Wahindi hawajitambui km watanzania kwa dhati bali ili wapate pa kuishi ambapo waweza kunufaika na Kukimbilia Canada nk.
    Ukitaka kuoa mhindi sikia kivumbi chake na ona wanavyo bagua na kunyanyasa waswahili hao si wenzetu wa kweli.
    tusipapatike next time tuweke Mtanzania halisi

  81. TanzanianDream Says:

    Heheheheh Latifa Warioba All the way……….
    Poor alibaniwa tu……..

  82. naomy Says:

    jaman mmezid kumponda richa ,inabidi tu mkubali ukwel

  83. Mkata Issue Says:

    SEMENI NDUGU ZANGU SEMANI! UKWELI UNAUMA!

    POPE! NASHUKURU TUKO PAMOJA.

    Richa ukitelemka Bongo wewe usilete kuongea mambo meengi maana utachemsha zaidi! Mambo ya kusema eti timu ya Taifa mbona imefungwa nyumbani hayatakuongezea ukomavu katika uchambuzi wa issues.

    Hata hivyo, fikiri sana moyoni mwako kwa nini watu kibao sasa mimi nitakuwa wa zaidi ya 80 hapa BC kutoa comments dhidi ya mfumo wa kumsaka Mlimbwende Tz. Kila sehemu watu walilalamika sana kwa nini?? Hainiingii akilini kuwa wote hao walikuwa na wivu au hawajaenda shule au eti ni wabaguzi.
    Lets think louder!

  84. naomy Says:

    tanzaniadream unaweza ukanipa e mail yako tuw tunachat.uko chamin sana,i rily lik u

  85. naomy Says:

    mkata issue naona naona unang,ata na kupuliza.mtie moyo dada ako

  86. Mkata Issue Says:

    Naomy mambo! Si unajua kukata issue ni kwenda mbele na nyuma kwa staili ya msumeno!
    Hatuna jinsi maana naye ni binadamu na lazima tumpe ushauri wa kufaa ili aendelee kufurahia matunda mengine yaliyopo humu duniani sio lazima ya umiss tu.

  87. Nana Says:

    Mheshimiwa TANZANIADREAM mimi ni mzima hila kazi nyingi hii ndio number ni +46704485014 ukinitumia msg utanipata,halafu ndio tutaongea zaidi.

  88. Nana Says:

    TanzaniaDream nimeiona email yako basi vizuri nitakuandika,Email moja kwa moja halafu hutaona jina langu.

  89. Chris Says:

    Yaani BC imekua ni uwanja wa kutongozana.

  90. Mussa Says:

    Chris,
    Acha kuwa na mawazo mafupi.Watu kufahamiana sio lazima wawe wanatongozana.Yaani unaonyesha jinsi gani akili zako zilivyo.Unaishi dunia gani wewe?

  91. Pope Says:

    Tanzania Dream, sawa bwana
    Naona umekwenda kuleta hadi marafiki wa Primary mje kushinda hoja kwa “Majority Vote”
    Tutafanyaje na imeshatokea.

    Nadhani cha muhimu ni kufunga mjadala wa Richa na Lundengawake na kufungua mjadala wa Kamati ya Miss Tanzania na hatima yake pamoja na utaratibu mzima wa kumpata Miss Tanzania si mbaya akina Lundenga (kama wataendelea kuwepo) wakiangalia Angola wamefanya nini. Sidhani kama kuna cha ajabu walichofanya ambacho sie tunashindwa, Umiss wa “Pichu” na Umiss wa “Pochi” ndio unakatisha tamaa wale Qualified girls kujitokeza. Lundenga achaneni na Ma Taikuni wa mjini ambao wanachagua Mamiss, tunawajua kwenye kila Kundi kuna watu ambao wana pressurize matokeo, hakuna Miss hadi Top Ten ya Rose Garden ndio inachagua, T/dream unaijua Top Ten ya Rose Garden wewe?
    Hawa watoto wanataabika sana kipindi cha kutafuta taji, wakiwa kambini kila siku Mataikuni wanadrive Bagamoyo wenda “KuFish”, sio siri.
    Point hapa ni kwamba System nzima iko Corrupt, kama Lndenga anajaziwa mafuta na “Baraboo mwana Zanzibar” ili aende Bagamoyo kambini unategemea nini?

    Nafikiri kuna haja ya kufanya mabadiliko, inuma watu kama Angola jamani, Watu wametoka kwenye vita juzi na kujipanga na kufanya mambo kuliko tuliokuwa na tunayoita amani siku zote, Leo hii Angola kwa Kikapu usipime, Timu ya miguu bomba, Ulimbwende ndio Huo, BBA wametukaba Koo.

    Panahitajika mabadiliko thabiti.
    Heko Tanzania Dream,Nana, Mkata Issue hahahaha duh Full Ubishi humo

  92. NDAKI Says:

    WE UNAYEULIZAMI NI NDAKI NANI UNAMAANA GANI?
    KWA TAARIFA YAKO MI NA WALUSANGA NDAKI NI NDUGU, SASA SII NDO TUKUULIZE WE NDAKI GANI????? BY THE WAY SIO POINT HAPA, NJOO VIBARAZA VINGINE HUKO UTAJUA MI NI NANI?.

    NASEMA HIVI WE POPO, KUMBE POINT UNAZO NA UNAJUA KUWA KUNA RUSHWA SASA ULIKUWA UNATETEA NINI AU NA WE UNAFAIDIKA NA KAMATI YA BOSCO MAJALIWA?

    NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO

  93. Queen Says:

    Ahaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa this is soooooo cooool nacheka hapa mbavu sina longeni watanzania,freedom of speech

  94. naomy Says:

    queen sasa unacheka nin?wa tz tuko fry kudiscus anything we want.haya bwn we vunjika mbavu tu

  95. naomy Says:

    musa na ww acha ushamba unadhan m2 ukihtaj contact za mwngne ndio wanatongozana?au bado uko ezi za ujima?

  96. robin mataru Says:

    This guy called himself tanzania dream works at my dad store I will make sure he loses his job, ya keep talking shit about richa while the next day ya come to clean our toilet.I was born here so i deserve to be tanzanian just like ya who doesn`t know where exactlty your parents came from!! If iam not tanzanian then shame of all of ya who let me fooled ya. I failed miss world just like any other person who also failed.I will remain miss tanzania 2007 no matter how hatred ya are ya tanzania dream.excuse my language ya can kiss my white ass if ya want. life goes on and enough is enough stink asses.ya stinky tanzania dream why cant ya talk in english yoyo boy, ya sound like gay anyway…shenzi!

  97. RICHA Says:

    HUYO DREAM TANZANIA, SIJUI TANZANIA DREAM HAJATULIA I WILL NOT BE SURPRISED HAJATAILIWA PIA DADA ROBIN MPE VIDONGE VYAKE TUMECHOKA UMBEYA WAKE, MWANAUME MZIMA KAKALIA KUONGEA USHEZI KUHUSU MISS TANZANIA UTAZANI YEYE MWENYEWE NI MISS PIA, I`M SCARED IS A GAY..NI KWELI HE SOUNDS LIKE GAY. MWANAUME ONGEA MAMBO YA SOKA NA U MISS TUACHIE SISI KINA DADA.

  98. KABEWA Says:

    HIVI KUNGEKUA NA ONYESHO LA CHAKULA CHA ASILI PALE MISS WORLD RICHA ANGEONESHA NINI KAMA SIO KACHORIIII?????????

  99. Kekue Says:

    Tehe tehe Richa unasema tanzaniadream akazungumzie soka awaachie nyie kina dada mambo ya umiss!!!!!!!! nenda kamwambie kwanza Lundenga aachane na umiss akaungane na Maximo kwenye soka awaachie nyie kina dada mambo ya umiss!!! What r u talking abt ma d’a?

  100. TanzanianDream Says:

    Hehehehe IT’S GETTIN’ BETta N’ BEtTa….Y’aLL SAY “THIS’ Ma HAUz”……

    Holla at’ yooo bwoooy…..

  101. TanzanianDream Says:

    Kekue (kaka/dada) una ubongo unaofanya kazi sana….Gudlukn’ kwa kombora………..

  102. XXX Says:

    Maskini TZ kama kawaida yetu kushika mkia nawashangaa sana leo hii mnajifanya imewatouch richa kutoshinda wakati mshazoea sisi kushindwa!the truth of the matterz is NANCY SUMARI iz the only miss mwenye viwango na alichaguliwa bila ubaguzi wowote. mwaka jana kwa mfano wema sepetu alikuwa msindikizaji! Jokate was better hata ivo naye asingefanya vizuri. LISA YES hapo angalau! lkn kwa mwaka huu tumechemsha tena vbaya sana! sisi wasindikizaji na tutaendelea kuwa wasindikizaji kwa mantiki hii na yote ni kwasababu 2:
    1.favouritsm
    2.rushwa

  103. Matty Says:

    Wewe Richa, kama unataka wanaume waongelee mpira pls mwambie Lundenga aende kwa kina kaduguda upesi, kama umeumia utajiju! lets people talk what they feel here is our national stadium.
    Asante na wewe pope kwa kukubaliana na Tanzania dream, nana, na mimi nipo nanyi.
    Safi fana Tanzania dream acha wachonge lakini wewe andelea kuparty kwa Richa kushindwa, raha jipe mwenyewe.

  104. ssss Says:

    oyaaaa nyie waswahili acheni upumbavu wenu…
    mtanzania ni mtanzania tuuu…mrembo gani mwengine wa tz aliewahi kufika mbali zaidi ya nancy..
    hata angeenda mswahili mnaemtaka nyie pasingekua na kitu..
    acheni racism nyie…
    kuweni kiakili..

  105. xxxx Says:

    unajua nyie waswahili tatizo lenu moja angeshinda huyu..au angefika mbali mngesema ooooh tulijua sisi..

  106. naomy Says:

    yaan ww richa badala ya kua na adabu uko nchi za watu unazid kuleta pumba au unafkiri tuko huko kwenu xxxxx.ww acha wakina tzdream ,nana ,and pope wakumalizie hasira zao.na wewe robin umehongwa na richa nin?kama u miss unawahusu wanawake tu mbona majaj wengne ni wanaume?its not ua fault by the way

  107. naomy Says:

    xxx watu wanahasira na nchi yao kama wewe huna ni shauri yako.na wala sio kwamba waswahili ni wapumbavu.au ww sio mswahili?inawezekana ukuwa mhind kama dad ako richa ndo maana huna uchungu na nchi yako

  108. xxxx Says:

    unajua nyie mkubali tuu mshateswa saana na wahindi na wataendelea kuwa tesa tuu..
    mtaendelea kusafisha mavi ya wahindi mpaka kufa kwenu..

  109. naomy Says:

    tzdream naona mrembo wetu wa kihindi vidonge vimemchoma sana.

  110. xxxx Says:

    alafu kingine mtu akiwakilisha bongo c lazma awe mweusi…mbona wa south africa wanawakilishwa na mzungu??
    mbona wa sauz wametulia tuu..
    hio ni kwasababu wameweka nyuma mambo ya racism..
    thnk ahead…
    its a one time thng..and its not like angeenda mtanzania mweusi anythng gr8 wld hav happnd..

  111. tanzanian dream Says:

    oyaa naomi maneno ya xxxx ni ukweli bwana….
    mtz ni mtz tuu…
    soo mwacheni tuu

  112. naomy Says:

    ahhhhhhhhhhhhhh hakuna ki2 kama hicho.kla cku sio j4.

  113. pope Says:

    oyaa maneno ya tzdream ni kweli kabisa.yalopita yamepita.sisi watanzania cku zoote tunashika mkia tuu
    kwahio hamna difference yoyote.

  114. naomy Says:

    ni kweli tzdream ila ngoja ni mweleweshe k2 huyu xxxx ;tatizo sio weupe aliokua nao richa mbona tumeshawah kuwa na mamiss weng weupe,kama angela damas,jackline na wengne.hapa tunazungumzia asili yake na walw sio rang yake?yaaan pale ht ukimuuliza mtoto mdogo atakuambia ni mhindi.BY THE WAY ASIYEKUBAL KUSHINDWA SIO MSHINDAN HIVYO INABID TUKUBAL MATOKEO.Ooooooh poor my nchi

  115. Jasmine Says:

    xxxx,

    Inaonesha wewe ni HOUSEBOY wa wahindi, kwa kifupi
    labda wewe na familia yako tu ndio mtasafisha mavi ya wahindi hadi kufa kwenu na sio watanzania wote…nahisi kichwa chako kimejaa MATOPE MUNGU AKUSAMEHE!!

  116. TanzanianDream Says:

    Jamani hapa TanzanianDream wapo wangapi???? Naona sasa itakuwa hatujadili Picha na tukio la Richa bali Identity yangu…….

    Nway tanzanian dream jaribu kuwa mbunifu na wewe…..U can do better than that……….

  117. TanzanianDream Says:

    By the way hawa watu hivi history wanaijua hadi waanze kusema RSA inawakilishwa na wazungu???Hii Kazi yako Pope kuwaelewesha maana i guess huku tumeshavuka toka mwanzo wao wamekazana tu bila kuangalia history…….Pamoja Y’all

  118. Pope Says:

    Pope mtoa maoni wa 116 sio mimi tafadhali naomba kuheshimiwa kwa kinywa changu

  119. Kakwimba Says:

    Hodi hodi uwanjani nami natia timu yangu
    Kusema nmejaaliwa na mola kanipa uhuru
    Richa rudi home TZ uraia wako wa kununua
    Ulidhani masihara? Umiss kazi mama

    WaTZ wamesema wachache wakawapuuza
    HEKO kwa uncle Lunde kapeleka DVD UK
    DVD DVD DVD DVD ingeshiriki?
    ULIdhani masihara umiss world kazi mama

    Eti richa kahudumia wagonjwa wenye mabusha
    Wenye matende na pia wale walio na ngoma
    DVD ingedhihirisha unyanyapaa wa kutisha
    Ulidhani masihara umiss world kazi mama

    DVD nliiona kapakata mwenye tende kanuna
    Je miss world concert wangempa ni ka si zero
    Flahi hata umeuza sura mtoto wa kihindi wewe
    Ulidhani masihara umiss world kazi mama

    Uzalenda kwangu si wa kuuliza
    Lakini leo hongera china, hongera Angola
    na hongera mexico mmewakilisha vyema
    Aka! richa nawe ulitaka umiss world?

    Kama kweli haikuwa kwa maslahi yenu
    Basi njoo ufanye kazi za kijamii
    Yatima wanakusubiri, wagonjwa wakusubiri pia
    Aka! richa nawe ulitaka umiss world?

    Si mchezo Angola wanaswala wakali
    Walishatuma ujumbe zamani BBA2
    Tatiana ilikuwa Trailler BBA2
    Micaela Reis DVD ya kutosha miss world

    Richard wetu alibroo kwa tati wa angola
    Ivi kama angekuwa Micaela Rich si angebadili uraia?
    Richa hata kwa Tati mbona sikuoni
    Sembuse kwa Zi Lin zhang, haya makunwa…

  120. Pope Says:

    Kaka hili shairi, Utenzi, taarabu ama?
    Maaan anajua shairi shuti liwe na Vina, Tafsida, Tamathali za semi, Nahau nk. humu naona maneno tuu hata ukimpa Andanenga Malenga wetu wa Radio Tanzania hawezi ku ghani hata ubeti mmoja.
    Ila poa message senti.

  121. kijana Says:

    kazi kweli kweli ,ila naona kama ni vema pia na yeey akija kama jhaijui hii apewe aone ni nbaman gani hakubaliki
    Dream nakupa big up sana

  122. abdullah Says:

    Mini unoona dhahiri kwa mashairi na matusi unooandikwa haba maana yake nini? bado yuko huko kwenu watu mingi unobenda baguzi na unashukia saana watu ambaye hafnani na ya habo. Hii mbaya saan tena dhidi usawa na haki za wanadamu na heshima ya watu yote bamoja na wale wachache. You are tainting good image and high respect which people in international community had for your nation for being credible freedom fighter for human rights protector. Come on!

  123. Nana Says:

    Matty Naomy na Pope nawashukuru kuwa pamoja na sisi.

  124. Tonni Says:

    Weeh abdullah kama hujui kiswahili tunaomba uache tuu.. unatuaribia lugha yetu. Hatukumpenda Richa, na wala jamani tusilazimishane kumpenda mtu. Hata angekuwa mswahili tiiiiiiiiii, hakuwa na sifa za miss Tanzania. Hata angeshinda tungesema hivyo hivyo. Hamna cha ubaguzi wala nini…….

  125. mbuche Says:

    jamani binadamu wenzangu unaweza kumchukia mtu lakini si kwa kupitiliza kiasi hiki richa si wa kwanza kushindwa kwenye haya mashindano na wala hatakuwa wa mwisho wengine wapo njiani mwakani watashindwa tu wapo dada zake kibao wamepita walishinwa sana kama yeye lakini sikuwahi kusikia wakisemwa hivi naomba tumuache apumue kidogo yote mliosema ameyasikia lakini yangekuwa yanarudiwa tena angejifunza kupitia kwenu

  126. Pope Says:

    Nana, mi si kwamba niko pamoja na nyie kumchukia nimo na nyie kwenye kuichukia Kamati,, mi silaumu, siangalii wala sichukii tulipoangukia nalaumu na kukichukia kilichotuangusha. Kwani Richa alikwenda kushindana na kamati kwa upeo wao wakaona anastahili.
    YEYE KAMA YEYE RICHA KOSA LAKE LIKO WAPI?

    Wabillah T

  127. Majita Says:

    Pope umechemsha.Unaposema shairi lazima liwe na vina una uhakika???Lazima ujue kuwa kuna aina za mashairi.Unayosema wewe ambayo lazima yawe na vina ni MASHAIRI YA KIMAPOKEO.Lakini kwa wa-SASA hakuna haja ya vina unavyovitaka wewe,ilimradi shairi liwe lina mkong’osio.Kama hilo shairi ni bomba kabisa.

    Hoja hizi ninatumia desa la Edwin ndaki aliloachiwa na mr.Kombo pale Ekernforde Mjengo wa Maarifa na kuliacha hostel za Nguvumali wakati anaenda tuition ya History galanos kwa Mr.Mwakasaka.
    Majita

  128. Majita Says:

    Vilevile naomba nifunge hoja hii kwa kusema kuwa ALIYESHINDWA MISS WORLD HII SI WATANZANIA.Bali ni watu wawili tu:-

    1:Mtu wa kwanza ni Kamati na majaji waliomchagua huyo miss Kemcho (akiwemo Lundenga.)
    2:Wa pili ni Richa kwa kukubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia na yeye kukubali kununua na kwenda kutia aibu huko.
    USHAURI KWA RICHA.
    Piga sala zako zote ili Richard MR BB2 ampe talaka mke wake ili wewe japo ukaponee hapo na upate kifuta jasho baada ya kazi.
    TAHADHALI
    Angalia wakati wa sala zako kuna mtu alibaki na Richard kwenye jumba.Wakiwa wawili wanatembea au wamekaa sehemu kamwe kwa mila zetu za kitanzania huwezi kusema siri hiyo.Ukilazimisha kwa vile wewe mila za kiswahili hujui utasema maneno haya…”Tatiana na Richard sawasawa kabisa.Kwani mambo yao yanafanana,ona wanavyopendeza wakiwa pamoja”.Sasa wakati hujatamka neno kuanzia …”kwani…” utakuwa umekula kichapo toka kwa mzee kifimbo cheza.

    Mwisho wa hoja na nafunga lango
    majita

  129. Kekue Says:

    U know wat ni bora angeenda mbongo ashindwe lakini sio kupeleka kuchi kuchi kotaee!!! Eti xxx anasema angeshinda ingekuwaje?? Tz hapa kushinda ilikuwa ni naniii……… ndo akashinde huko?? Unafanya masihara nini !!! Tehe tehe afadhali hata kumi bora hakuingia manake ningepelekwa MIREMBE!!!Tzdream na nana na wengine ebu leo niwasikie basi !!!! Kakwimba shairi lako limetulia.

  130. naomy Says:

    kekue wa2 tushajichokea mwaego,unajua mwaka huu wa hindi walipewa upendeleo ktk mashindano ya urembo baada ya kupewa nafas mbili,moja kutoka hukohuko kwao na nyingne kutoka tz.LAKIN TUMWACHE 2 MREMBO WE2 RICHA HUENDA AKANANIIIII NEXT YIA??mmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhh is it pocbo?

  131. Kekue Says:

    He! hivi walikuwa wawili Naomy bwana Tehe tehe !!!!

  132. Pope Says:

    Senkyu majita kwa kuniongeza kitu mu kichwa kuhusu utenzi.

  133. TanzanianDream Says:

    Hehehe nilikuwa nimeshamaliza kujibu kwa hii picha ila Wacha niongezee walikuwa 3 au sijaona vizuri…Miss India,Miss Malaysia na Miss Tanzania wote walikuwa wahindi(Miss Malaysia anaelekeana na Miss Tz kwa karibu).

    However Kosa la Richa ni kujua hana vigezo na kukubali kupelekwa…Pia kujua hana asili ya Tanzania na bado kung’ang’ania kugombea….Isianze Debate ila huo ndo ukweli………..

  134. Matty Says:

    Mh!!!watu bwana wanamacho sana, Tanzania dream kumbe walikuwa wadosi watatu mimi sikuwa makini kwenye hilo, ila nana, naomi, Tanzania dream na Kekuu tujivinjari mdosi kashachemsha.
    Hapa wanaotaka kumnyenyekea Richa wakampokee Airport kashatua sisi hatuna mda huo.

  135. sm Says:

    dada wa watu atapumzika, MUMEMUANDAMA NA MANENO UTAFIKIRI HAO MAMISS WAKISHASHINDA HAYO MAGARI NA ZAWADI MNAGAWANYIWA NA NYINYI. GET A LIFEEE IF YOU DONT HAVE ONE GEEEZZZ!!

  136. msk Says:

    Kila kitu kina ladha yake,usifananishe chungwa na embe,miss tanzania awe mtnz tena awakilishe bendera ya watanzania kama inavowakilisha bendera rangi nyeusi kwa ajili ya watu wa tanzania. TANGU LINI PAKA AKATAFUNA MUA?

  137. TanzanianDream Says:

    Duuh Metaphor

  138. MS Says:

    MBONA ALIVOCHAGULIWA ANGELA DAMAS mwaka 2002 HAMNA MTU ALIELALAMIKA KITU?KWANI YULE MTANZANIA MWEUSI MWENYE ASILI YA KITANZANIA? YULE NI HALFCAST WALA SIO MTANZANIA PURE, AU MNABAGUWA MPAKA WEUPE WA KIHINDI NA WEUPE WA KIZUNGU??
    ACHENI UHASIDIIIII NA MANENO YA KIJINGA NDIO MANA WATANZANIA HATUENDELEEEI KWA UBAGUZI TULIONAO NA CHUKI TULIZONAZO.

  139. Matty Says:

    Tanzania dream, nana, pope, naomy, Kekuu do any one have got panadol or paracetamol maana sasa nasikia kichwa kinaniuma sm anaanza kunipanda kichwani dakika za majeruhi….please sm have a break kidogo ili sisi wakereketwa tuseme ukweli, Richa hakustaili kupeperusha bendera ya Tanzania full stop!!!!!

  140. Kekue Says:

    Matty unasema anayetaka kwenda kumpokea Air port aende!!! Mi nakwambia wahindi ndo wataenda kumpokea, Tanzanian don hv such tym ya kwenda kumpokea Chemcho bay!!! Da lakini namwonea huruma sn!!!!!!! Tehe tehe !!!!

  141. Kekue Says:

    Ngoja ninyamaze mie, nisubiri tena mwakani sijui tutapeleka mchina kina Nyiha!! manake ni hatari badala ya kuangalia waliowai kufanya vizuri walikuwa wanafafanaje (Hoyce,na Bingwa Nancy)wapeleke type hizo wanapeleka chemcho!! Y!!!!!!!!! Kwa nini!!!!!!!!

  142. naomy Says:

    hapo ms ndo inabid uelewe kuwa watz hatuna ubaguz na angela tunajua alikua mt coz baba yake alikua na asili ya kitanzania.sasa wewe unaweza kumfaninisha angela na richa?acha hizo,alafu richa akirud kuna party ya kumpa pole kwakushika mkia nakushauri usikose,

  143. Matty Says:

    Ni kweli Kekuu, mswahili akienda atatengwa tu hata magari yatakayoenda kumpokea ni ya wahindi watupu,wakereketwa wengine utawaona tu lazima wataenda tu nakwambia.bye ngoja nifunge mjadala maana Tanzania dream na nana washaenda kulala nadhani.

  144. Matty Says:

    Naomy pls itafanyikia wapi???au ndo unamzuga ms.

  145. lilian. Says:

    Unajua nini, Kwa kweli mpaka sasa mimi naona waliochemsha hapa ni kamati. Inaonekana wanaangalia sana pesa kuliko maendeleo ya nchi, walimchagua Richa kwasababu ya pesa na wakamtupa na kumsusa China kwasababu ya Pesa tuu.. Hawa ndio wanaitaji ushauri. Richa yeye alikuwa scape got. Poor Richa. But still I don’t think that she was the person who deserved to be miss Tanzania. She is still an Indian hata kama ana passport ya Tanzania. Swali kwa wale wanaosema Richa ni Mtanzania halisi, kukitokea vita na wahindi wakaletewa magari ya kuwaokoa, kama vile ilivyotokea Rwanda, Unadhania richa ataangaliwa kama Mtanzania au Mhindi??? No matter what tusijitie hatuoni na kujifanya oooh tusiwe wabaguzi, tupendane, Ukweli ni ukweli, ukisema wewe ni Mtanzania au Muafrica lazima uwe atleast na damu ya uafrica, Uhamiaji sio guarantee. peace….

  146. queen Says:

    hata mkilalamika vipi mwenzeni keshapata alichokuwa anakitaka.hata kama kashindwa sio vibaya lakini nani asiyemjua Richa ni Miss Tanzania 2007? zawadi kapata,jina kajenga,kaongeza kaelimu katika mambo fulanifulani,shooping Dubai anafanya!wewe mchongaji unakauka koo na kumtukana dada wa watu kama vile alijipeleka mwenyewe kule.ona aibu japo kidogo pia tafuta wa kumlaumu sio huyu dada wa watu hakukosea hata kidogo.kashindana kama kawaida na amechaguliwa na ameweza kwenda kuwakilisha nchi yake kama nchi yake ilivyomchagua.mashindano kama mashindano kuna kushindwa na kushinda. Ukweli ameshindwa ni kawaida,sasa iweje mumsuse oh hatuendi kumpokea oh matusi mengi!aibu aibu ndugu mnaomkandia dada wa watu.Cha maana hapa ni kujifunza kutokana na makosa na wala lawama haitasaidia kitu.Huku ni kuongeza chuki tuu na ubaguzi ambao hautakuwa na mwisho mzuri.Binafsi ninakukaribisha nyumbani Richa wala usijisikie vibaya kuona vile watu wachache wamekutukana,bado tupo wengi tunakuunga mkono kama mtanzania mwenzetu.Wala usikate tamaa kajiendeleze kama dada waliotangulia wanavyofanya uonyeshe utanzania wako kimatendo waache kuchonga sana.KARIBU NYUMBANI RICHA HUJAUA.

  147. Nana Says:

    Naomy asante sana kumjibu Huyo MS Kuhusu Angela Damas
    Tulishazungumzia, Tangu kitambo yeye tayari hana damu mbili namahana Mzungu na mweusi.Yeye alikuwa na haki ya kushiriki huyo muindi unayemsema wewe ni mtu hana damu yeyote ya mweusi.Sasa sisi tutamkubali vipi
    Hana sifa yoyote ya kuwa MISS TANZANIA hana bahati sikuwepo.

  148. Nana Says:

    Queen Wewe ndio hunamtambua miss Tanzania.Lakini mimi Matty Naomy na Tanzania Dream pamoja na Kekue Sisi wala hatumtambui na wala hatumtaki.Kuhusu Dubai kaenda kununua nguo za kihindi hili akishuka airport watu wasijue kama ni yeye, Hanajua jinsi watu hawakukubali ushindi wake nakutakia safari njema ya Airport.

  149. Kekue Says:

    MIMI KAMA KEKUE CTAKAA NIMTAMBUE MILELE, HALELUYA MAOMBI YANGU YAMEJIBIWA!!!!!!!!!! TEHE TEHE,

    HIVI ALIRUDI JANA????? ETI NIKAMSHABIKIE KUCHI KUCHI, OVER MA DEAD BODY!!!!!!!!!!

  150. Matty Says:

    Queen, mh!!!!poleni sana wewe na Richa wako…sisi tunamtambua kama miss India aliyehamia Kariakoo full stop!nani asiyejua Richa ni mhindi??ukitaka maswali majibu utapata anachanganya sentensi kusema msukuma mara mpemba mh!!!ninashaka labda ni alkaida kabisa huyu binti,Nana kuna mjadala wa leo kuhusu Lundenga na kamati yake achana na Queen.

  151. anony Says:

    Mbona mnamsakama mtoto wa watu bure. Kwani wangapi wameshashindwa miss world mpaka iwe yeye. Ukiacha nancy wengine wote waliotangulia ambao mnawaita raia walifika wapi?
    Je na hao mliwasema hivi kama mnavyomsema richa?
    Isitoshe richa hakujichagua yeye. ni majaji ndio waliomchagua. ni vizuri mkawalaumu hao majaji na si richa.
    Ndivyo ilivyo kwenye mashindano kuna kushinda na kushindwa. Yote ni matokeo

  152. anony Says:

    Nashangaa mpaka watu wanadiliki kushukuru mungu kwa kusema “haleluya dua yangu imesikilizwa” Yote inakusaidia nini?
    Achane roho dhaifu binadamu. haiwasaidii chochote.
    Zaidi ya kuonekana illiterate

  153. Mhindimtanzania Says:

    Immaculata Says: December 3, 2007 at 11:00 am
    Afadhali ameshindwa maana wahindi wanatudharau sana ukiona muhindi anakuthamini ujue una kitu au wewe ni kiongozi, hawafai hawa ni sasa na mbwa tu hata nchini kwetu wangeondoka, shenzy taipu, hamkuona ile sherehe ya kumpongeza richa walikuwa wahindi, kasome shaban robet au mzizima ndo utawajua hawa viumbe

    We Immaculata..Mshenzi Mkubwa wewe…Kama wewe unadharaulika ni kwaajili ya lugha chafu uliyonayo…inaonekana hujafundishwa adabu …inaonyesha we ndio mtu ambaye umejaliwa na upumbavu ..bhenchod..pokea tusi la kihindi hicho…na acha kuwafuata wahindi mzizima na shaban robert ili wakupatie hela ya soda…umeshasahua ulipokuwa unakufa njaa…jina kubwa akili ndogo we…

  154. Chris Says:

    BC inakuaje uwanja wa matusi? Tena mbaya zaidi from Mhindi kwa mzawa mwenzetu, mbaya zaidi mdada. Kwanza his/her (Mhindi) statements are too racist, oppressive, segragative kwa kujiona wao ndo wao…Shabaan Robert, Mzizima, cash…. WAZAWA kwenda pale ni umaskini,njaa, kujiuza… Think BC you need to detect suck kinda of stuffs.

    Ila wahindi nafikiri kuishi kwao Bongo kunaelekea mwisho.Maana hiki kizazi chetu cha bongo fleva sijui km kitawaachia waendelee kutujazia vyoo na kuondoka na cash zote uhindini and other places.

  155. Mhindimtanzania Says:

    Chris….
    Matusi umeyaona ya wahindi tu???? Hi site yote iko against Wahindi wa Tz…lakini one comment from me …unalalamika eti uwanja wa matusi kutoka mhindi? hujamwona huyo dada yako ameandika nini???kuweni wastarabu kidogo, sisi hatuna ubaya na nyie….

  156. Sania Says:

    richa my a$$… kuna warembo wengi tz.. kushinda huyu.. mwanzo angalieni hio pua yake..mwanzo katika uchaguzi wa miss india , huyo hangeingia hata kwa contestants…ooh im also very happy she didnt win.. kama nyie wa tz mupo blind.. si kila mtu kipozi.. wengine wana macho

  157. abdullah Says:

    Kweli watu naumishia kishwa yao buure tu. Maana yake nini unaskama hii binti na kubatia bughdha minji ati anashindwa na ati ni ya India and si ya Tanzania.
    Unobata faida gani ?
    Sasa unabiga klele maana yake nini?
    Nani unoumba hii mtu Binadamu?
    Nani unashagua kabila au rangi yake kabla hajazaliwa?
    Nani hamna yote….
    Watu wanaubwa kabaila ili wajuane sio kutukania tu
    Washeni klele ovyo tu


Leave a reply to Nana Cancel reply