Soka sio mchezo lelemama.Picha hii ambayo ndio picha yetu ya wiki hii inajieleza.Kama umewahi kucheza soka,japo la mchangani tu au lile liitwalo “chandimu” basi ukitizama picha hii unaweza kukumbuka mawili matatu.Lakini swali gumu ni kwamba je kwa mwendo huu Tanzania itateremka dimbani nchini Afrika Kusini mwaka 2010?Picha kwa hisani ya Tagbanger.
Recent Comments
winnie on GEA HABIB | |
REHEMA DOUCH on “ANITA” KUTOKA KWA… | |
SPC zoo on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… | |
Mattylda on LIYUMBA AINGIA MITINI! | |
watu bwana on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… |
This work is licensed under a Creative Commons Attribution-Noncommercial-No Derivative Works 3.0 Unported License
Ndiyo bongo hiyo, ila hakuna cha kushangaza sababu hata akina Gaucho walianza hivyo hivyo ila tatizo letu hakuna wa kuibua vipaji hivi kwa wenzetu wapo.
DUUH KWA MTINDO HUU NAONA HATA AFRIKA KAPU TUIFIKIRI 2030 LABDA TUTAWEZA SHIRIKI.
nyie ache tu… lakini hawa ni wakenya jamani..ah