Unaweza kumtambua huyu bibi?Fununu za jibu ni kwamba katika siku za hivi karibuni waandishi wa habari kutoka pande nyingi za dunia wamekuwa wakimiminika nyumbani kwake ili kufanya naye mahojiano.
Recent Comments
winnie on GEA HABIB | |
REHEMA DOUCH on “ANITA” KUTOKA KWA… | |
SPC zoo on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… | |
Mattylda on LIYUMBA AINGIA MITINI! | |
watu bwana on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… |
This work is licensed under a Creative Commons Attribution-Noncommercial-No Derivative Works 3.0 Unported License
Ni Bibi yake Barack Obama
Ni Bibi yake Barack Obama
grandma wake na Obama.
Yap….huyu ni mama mzaa chame. Bibi yake Barak Obama. Mgombea uraisi mwenye asili ya Africa nchini Marekani.
Huyu bila shaka yoyote ni Bibi Hussein Obama,mama wa baba wa Seneta Barack Obama.Kwa lugha nyepesi ni bibi yake Barack,period!
Uwezekano pia ni mkubwa wa yeye kuipanda Ea fosi wani mwakani maana lazima itue kisumu…..Long live black colour!!!, na visa za marekani zitanoga kwa wale wenye majina yanayoanzia na O
Bibi yake Obama?
Obama’s Grandma
Huyo ni Nyanya yake Barak Obama ….ni hayo tu.
Najua kuna wadau watasema ni bibi yake Obama.Hapo sasa wakeii itawawia ngumu kuelewa kinachoendelea.
Tutafika tu
ni bibi shangazi yake Barack Obama
ni shangazi yake Barack Obama
Huyo ni bibi yake Senator Barack Obama. Kama mambo yakienda vizuri mjukuu, basi atakuwa kwenye historia ya taifa la Marekani na dunia. Let’s see kwani kuna vifitina vingi anafanyiwa Senator Obama..
kwa uhakika kabisa huyo ni bibi yake Baraka(americans wanamuita Barack)Hussein Obama
Ndiye aliyemzaa baba yake Obama Barack,ambaye mtoto wake huyo akisoma Havard alikutana na mama tajiri wa kizungu shuleni hapo na kupendana na kupata mtoto wao Baraka(barack}mweusi wa kwanza kufirika kuwa anaweza kuwa Rais wa TAIFA lenye nguvu zaidi kiuchumi na kijeshi duniani USA
Mtoto wake HUSSEIN OBAMA(baba yake Barack}alikufa miaka mingi kwa ajali mbaya ya gari,ajali inayohusishwa na ufisadi wa Mzee Moi,akimuacha Barack bado kinda,Barack amemuona baba yake akiwa na umri wa miaka 2 tu na si zaidi ya hapo
Huyo ni mama wa mzazi wa Michuzi amekaa ulaya miaka 10 London lakini hajui kiingereza cha ajabu hajawahi kaa china lakini anaongea kichina, wazungu na watu ,balimbali waliminika kwa kina michuzi lindi kumuhoji bibi na serikali ya china kupitia ubalozi wake Tanzania wana mpango wa kumuajiri kuwa mkalimani.
Big Up bibi
Barack Hussein Obama’s grandmother,soon and very soon the son from Africa will lead the big and powerful nation in the world.
Huyu ni bibi wa Barack obama anaishi nchini Kenya
HUYU NI NYANYA WA MGOMBEA URAIS WA MAREKANI KUPITIA CHAMA CHA DEMOCRAT BWANA BARACK OBAMA
si ndo bibi yake Obama au nimekosea?
Huyu shangazi/bibi wa Obama,mgombea urais Marekani.Anaishi Kenya.Ni bibi jasiri sana akutanapo na waandishiwa habari kama ulivyodokeza.
Huyu Bibi ni MKENYA, ni Bibi mzaa Baba wa Presidential candidate wa U.S.A Senate Barack Obama.
Huyu ni bibi yake Obama. Mama wa marehemu baba yake na Baraka Obama.
Bibi yake Baraka Obama.
huyu mama yake lady jay dee
huyo ni mama yake waziri mkuu mizengo pinda kwani wamefanana .
uyu ni bibi yake barack obama
mama yake lady jaydee
uyo ndio bibi yake obama bibi´mpesalam obama(obama nyasae okonyi nyaduong’o
Jamani wewe mhariri wa bongo celebrity, mbona unabania sana comment za watu kibao? Kuna comment kibao humu hatuzioni na wala sio zenye lugha chafu. Tafadhali bwana.
Hivi kuna tofauti gani kati ya bibi yake Obama na nyanya yake obama
Huyu ni bibi yake Baraka Obama.Kwa sasa ni gumzo Marekani,kwani nakumbuka prof. mmoja class kwangu alisema kwa kicheko kikubwa kwamba sasa watu wanamiminika nyumbani kwa bibi huyu kijijini majira ya jioni inasemekana ndie pekee mwenye tv ili kufuatilia maendeleo ya uchaguzi wa marekani.Naelewa maana ya kicheko chake ni kuwa waafrika tunadhani Obama atashinda urais!Lakini ya mungu mengi unaweza kuta Mccain wao chali-tusubilie mwaka ndo unasogea huo.
Huyu ni mama yake lowasa
Huyu ni Bi kidude
Ndaki kama nakumbuka vema somo la kiswahili darasa la 3 Nyanya ni mama wa bibi (yaani bibi yake mama yako mzazi)ila wakenya wanatuharibia kiswahili na hivyo kwao bibi ni mpenzi na nyanya ndio bibi. 🙂
aaaaaaaa..aaaaa… Dinah.
Imekaa vema hiyo nashukuru.
Wengine hapo juu kama mlikuwa hamjui si mnge kaa kimya tu.
anajulikana huyu ni bibi mzaa baba wa Barack Obama.Wacheni fitna oh bi kidude ,oh mama wa Mizengo pinda ,oh lowassa,watanzania bwana yaani mpaka……………
sijui lini mtajifunza ustaarabu.
Hili ni swala dogo sana lakini mtu mwenye akili anawapima ni watu gani wanao changia upuuzi kwenye blog hii
wacheni kashfa maan sasa hivi itatiwa dosari kama jambo foram alafu tuanze piga kelele
lowassa anahusika vp hapa au Pinda
bora mwache kutoa maoni
Kaka Fukara…
“…Hakuna maana kumwambia maana mtu asiyejua maana kwani hata akijua maana atajifanya hajui ili kupotosha maana”
Najua walijua kusema Mama Lowasa, Mama Pinda,Mama Jaydee nk sio jibu sahihi ila…
Mh. Fukara…
“…Hakuna maana kumwambia maana mtu asiyejua maana kwani hata akijua maana atapotosha ili kuutoa umaana…”
Walijua kuwa kusema Mama Jay Dee, Mama Pinda, Mama Lowasa na Nk si jibu sahihi lakini…. aaah ndio wenzetu tena.
Tatizo ni kama Mkenya au Mtz anachangia hapa. Bibi = Wife in Kenya. Sasa kama unasema ni bibi yake Baraka..ashakum si matusi.
Na wewe Ben comment yako hapo juu. Nimecheka sana:-)