Mbunifu wa mavazi Mama Asia Idarous (kulia)akiwa amepozi na mtangazi wa Clouds Fm,Dina Marious,wakati wa fashion show iliyokwenda kwa jina Kimasomaso hivi karibuni jijini Dar-es-salaam.Vazi alilolivaa Dina ni mojawapo ya ubunifu wa Asia Idarous.Mavazi mengi yatumikayo kwenye harusi yalionyeshwa katika show hiyo.
Photo/Ahmad Michuzi
Wabunifu wa mavazi TZ wajitahidi kujitangaza nje ya nchi kupitia vyama vya waTZ katika nchi mbalimbali. Kwa mfano, Edmonton Canada, kila summer kuna heritage festaval watu wa mataifa mbalimbali wanaonyesha kazi zao. Wanablog mnaweza kuwasaidia kutengeneza networks.
Mmetoka Ki-TZ
Dina pungua ona unalingana na mama asia idarous na wakati mwenzio mtu mzima
Mapigo saba unaishi Edmonton sehemu gani? Nina swali sijui nitakuandikia wapi?
By the way dinah umependeza, sikujua uko mmama wa kiafrica haswa. Radio zinatupa picha ndio kumbe sio.
hee dina kumbe ndioivyo i thought u were mdogomdogo iviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.ila nakufagilia kinoma dada yangu haipiti siku sijazikiliza leo tena haki ya mungu tena
jamani nimeamini..kweli duniani wawili wawili,,yaani dina umefanana na rafiki yangu aitwaye elizabeth francis…mhh sina la kusema…ila napenda sana kipindi chako na haswa ile jingle yakooo..big up.
kumbe ndio hao
Dinah, designer wa hiyo nguo uliyovaa hajakutendea haki kabisa
haaa, Angeline umenichekesha daah, kama nakuona vile, ingekuwa wewe unagoma kuivaa hadi wakupe ingine. Jamani wamemtwisha dada wa watu utu uzima mno! kama vile anaenda bungeni na kina ana abdala.
Unayejiita “any” na kutaka kuniuliza swali, niulize tu ntakujibu! weka email yako kwanza, baadae utaipata yangu, kwa sasa nasita kuweka email yangu kwenye kadamnasi.
Extra Ordinary….Outstanding wedding design or rather say “Casual Summer wear” in Europe.
we need “International Sponsors” to invest necessary amount of money for Marketing & Export outside Tanzania.
mickey@mail-online.dk
Copenhagen