BONGO CELEBRITY

All You Wanted To Know But Didn’t Know How and Where

NYWELE FUPI February, 10, 2008

Filed under: African Pride,Fashion,Photography/Picha — bongocelebrity @ 8:59 AM
Unapozungumzia nywele fupi,au kipara miongoni mwa wasichana/warembo au wanawake kwa ujumla nchini Tanzania,pengine hakuna jina linalokuja akilini haraka zaidi ya lile la Flaviana Matata.Pichani ni Flaviana alipokuwa Paris,Ufaransa mwishoni mwa mwaka jana kwa matembezi na mapumziko.
 

18 Responses to “NYWELE FUPI”

  1. Pope Says:

    UKISEMA NATURAL NDIO HII, MWEE HAKA KA DADA HAKA HAKI YANANI….!!

  2. Joyce Says:

    Huyu upara unampendeza sana ila hiyo mimacho mwenzangu wala walimkosea kumpaka miwanja mingi kiasi hicho mbona mnatutisha wenzenu lol.

  3. hawa Says:

    Sasa ujue bongo imekua fashion baada ya kuona katoka na upara,Go girl u deserve more

  4. KC" Europe Says:

    Flaviana keep it luck ladie wadau wa modelling tupo tunakupa support then i like u’r style upo unique,models watanzania tuwe wabunifu zaidi na tujitahidi kuwa natural na confidence!!

  5. priska Says:

    ila hii picha katoka kama kajini…….na hilo likoti la manyoya mmmh jamani tutauana……
    kipara sawa kinakupendeza ila bongo naona kila demu anataka ageze wengine mabichwa box jamani msigeze tuuuuuuu!
    ni hayo tuu!

  6. Obwatasyo Says:

    kwa lugha ya kimataifa inaitwa INGETYO!

    Baada ya haya maneno mengi nasema HAJANIPENDEZA/HAJANIPENDEZEA/SIJAMPENDA

  7. Edwin Ndaki Says:

    Utabiri wangu….

    JK anamchomoa Meghi wizara ya chapaa…

    Hardworking man…Magufuli anarejea kwenye wizara mpya tofauti za ardhi.

  8. amina Says:

    ana sura nzuri na kipara kinampendeza ila hiyo mi eye lashes mhhh na mimake up mhh

  9. johnruta Says:

    Go Girl!! go ‘n get them!!
    Coz you are the next Odemba, Oluchi, Iman, Liya Kebede or Alek Wek.
    Keep it up mamaaa coz u will reach the top of the Big Apple!!

  10. Matty Says:

    Anapendeza tu hata akisuka….hebu sikumoja uje na style ya kusuka minyoosho tukuone jamani!
    Naona bongo sasa hii ndo fashion iliyopo kila mtu ananyoa wengine mhhhhhhhh kama alivyosema Prisca wanaogopesha!
    Kazana mdada uwe supa model wa ukweli ukweli!!!ila sijavutiwa na hizo kope za bandia na hiyo michoro mieupe!!!!!!!

  11. zawad haji Says:

    Ni mrembo, na tena amepunguza gharama.

  12. Kekue Says:

    Huyu mtoto ni mzuri sana na huo upara wake huwa anapendeza sana coz she look so natural, lakini sasa hayo macho mama yangu duuu!! aya ndo umodo!!!

  13. Renee Says:

    Nawaunga wote mlioyaona hayo macho…. kama mchawi!!
    Anatisha! Tafadhali advise the girl***

  14. hawa Says:

    jamani sidhani kama kope kaweka kwa kutaka kumbukeni ni moja ya kazi ya models kutangaza vitu,sasa kama alipata dili asifanye eti kwa sababu anatisha akiweka!Ndo modelling hiyo go girl utafanikiwa tu usisikilize maneno ya watu wanataka kukukatisha tamaa tu

  15. nadia Says:

    iyo picha hakupendeza kabisa izo kope aliyemueka kamnanga

  16. para ndilo lenyewe …..

  17. trez Says:

    AMEPENDEZA MWAYA KAMA TUMBILI

  18. sellanda Says:

    trez nakupa big up we ndo umeongea point ya maana. katoka kama dume la nyani ila akiwa bila make up anatoka bomba


Leave a comment