Zimetanda habari za kushtua kidogo.Habari zinapasha kwamba mtuhumiwa Amatus Liyumba(pichani) ametoweka,hajulikani aliko na heka heka za kumsaka kwa udi na uvumba ndio zimeshaanza? Waliomdhamini wameshaanza kukiona cha moto.Ilikuwaje?Kaenda wapi?Ni kweli?Bonyeza hapa kujua zaidi.
Recent Comments
winnie on GEA HABIB | |
REHEMA DOUCH on “ANITA” KUTOKA KWA… | |
SPC zoo on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… | |
Mattylda on LIYUMBA AINGIA MITINI! | |
watu bwana on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… |
This work is licensed under a Creative Commons Attribution-Noncommercial-No Derivative Works 3.0 Unported License
makubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!madogo yana nafuu…huu ndo mchanga wa macho sasa, balali kafia ulaya na kazikwa huko,na huyu tutasikia tu kafia ulaya na kazikwa huko!!
Am not a lawyer like TOMMY lakini pls mnaojua sheria hebu tusaidieni ile dhamana tunaambiwa ilikuwa tata sasa aliachuiwaje huyu????
BC NIMETAFUTA SEHEMU YA KUBONYEZA NISOME ZAIDI ILA SIONI!PLS HELP!