Jina la Matonya(pichani) hivi sasa ndio jina linalotajwa sana vinywani mwa wapenzi wa muziki,hususani huu wa kizazi kipya.Siku za nyuma kidogo alitamba sana na wimbo wake wa Violet.Kabla hata wapenzi wa muziki wake hawajatulia,hivi sasa anatamba na kibao Anita.
Kibao hiki ambacho kimepikwa ndani ya studio za 41 Records za jijini Dar-es-salaam, ni single kutoka katika albam yake anayotarajiwa kutoka nayo mwaka huu.Bonyeza player hapo chini usikie kitu Anita kutoka kwa Matonya akiwa amemshirikisha Lady Jaydee au ukipenda Jide.
Matonya hongera sana, hii ni kazi iliyotulia.
Jitahidi zaidi na zaidi kwa kutafuta ushauri kutoka kwa wataalamu wa fani utafanya vizuri zaidi ya hapa.
nyimbo nzuri…ila kwa kulalamika na huyu naye..idea zunafanana kila siku anamlilia demu..ila hongera ndo bongo fleva hiyo..hip hop haiuzi hahahaha
nakufagilia sana m2 wangu keep it up
Hongera matonya sanaaaaaaaaaaaaaaa
Anita wakooooooooo amesimama kimtindo.
Utafikiri violet bana safi sana njoo hivyo hivyo dogoooooooooooooooo.
Matonya ulikua kambi gani?I mean JKT.Umenikumbusha mbali!!
Du imetulia sana. Big up man!
Big up man Imetulia kinoma
Safi sana kibao kimetulia ila uso unahitaji soap soap kidogo nahisi!
Mmmmmh uso na hapa vimeusiana nini angepaka mkorogo mngesema ajajipaka mnasema walimwengu hawakosi cha kusema jamani khaaaaaaaaa!
matty…oho
Aha ah Amina umenchekesha,maana umegusa ukweli,Jamaa kwa ubembeleza mademu yuko juu.
Matonya Saaaaaaaafiiiiiiii,safiii sana.
kaza buti mwanagu usije ukajisahau tu kwani kwa sasa uko juuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!1
Tatu,Amina uso nilikuwa namaanisha reception yake aikarabati kidogo si kwa mkorogo ila hizo pimplessssssssss sorry kama nimemuingilia nguoni wapendwa!
matty..mi sina shida haina haja ya kuniomba sorry ila nilikua nakutahadharisha tu..kuna watu wanahasira watakushambulia
BIG UP TONYA. da song is tight na inaflow vinoma.
keep it up.
Matonya asante kwa kitu cha maana ulichotupatia wapenzi wa muziki e bwana kweli inasikika sauti ya mwanaume,lakini pia Jide kwa nyuma anaweka nakshi ya uhakika!ebwana songi limetulia.wawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
matonya guud bro,
after vailet umempata Anita, hope she will be b.mdogo
hongera kaka unafanya freshi
sio siri msela umefunika kinoma
Hi guy
E bwana saruti saaaana m2 wangu Tonya embwana kaza buti kijeshi jeshi hivyohinyo utafika.
Aisee huu mwimbo umesimama big up matonya. kazi buti,
Matonya hongera na uendelee na kazi yako zuri ya utunzi wa nyimbo tamu tamu. Mterehemizi abariki kazi ya mikono yako, enyewe matonya mimi ni fan wa Bongo flava ingawa natoka Kenya. Haswaa nina hamu sana kupata album yako yote ya Anita Wangu. Nataraji utafanya mpango ……..see yah great man.
Eeeh bwana kazi zuri iliyowatisha wasanii wengine na kuwatia kiwewe kwa kufuma kutoka Tanzania hadi Kenya, hongera. Endelea vivyo hivyo.
kipaji nzito kajisambaza enyewe,uko top na tupe lingine tamu kama ili.
safi sannnaaaaaaaa matonya” ANITA” Imemfanya mtu kumkumbuka mpenzi wake!
Big up bro ngoma zako zinashika kweli,mimi ni mkenya hapa England lakini umetubamba kinyama.tia bidii ivo ivo
kamuabaabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
matonya, your songs are the bom i like them so badly, such such i would love you to have some dancers and have me us one of them
congratulations Matonya!! songs zako zinaflow vinoma tu sana, endelea na mwendo huo.
matonya, good work man.anita is my favourite i have watched and watched it.ua anita is really cute.cheers
good work mate,the song is amazing
Hongera sana MATONYA,this song is wonderful.Cheer-up man and keep the candle burning.
Bwana matonya miziki yako mizuri saana.
alakini sisi watu wa Burundi tuna ubishi kidogo eti kati ka muziki taxi bubu ule msicana ndiye aliyeceza filamu ya kitanzaniya inaitwa Oprah? tunataka jibu.
Mimi nakupa hongera kaza budi katika fani yako kila heri