Ingawa blog ziko nyingi sana siku hizi zinazotupatia habari za nyumbani, BC ni moja kati ya blog ninazoziheshimu kwa umakini wake wa kutupatia habari za nchi yetu pamoja na watu wake kwa ujumla. Nawapongeza na nawatakia mafanikio zaidi na zaidi. Daima mbele nyuma mwiko.
what can i say! kwanza naanza kwa kuwashukuru sana BC big up sana jamani hii blog inatisha yaani ina habari motomoto.nawapongeza sana lkn bado tunaomba mzidi zaidi na zaidi kazi yenu nzuri sana.naipenda BC nawatakia kazi njema.
Yeah, i found the out the site km mwezi now. I had 2 pass on previous stuffs. It’s really interestin’. Nilikosa mavituz kibao. Ni hazina kwangu cuz nazidi kuji-feel niko Bongo kila siku. More issues guyz. Keep it up. But keep on advestisin’ the site.
BC katika vitu mnavyonifurahisha navyo kwanza nikwapa uhuru watanzania wote kufahamu hili na lile ndani na nje ya tz. kuwapa uhuru wasanii wa aina zote wa kuzungumzia kazi zao. ama kwa hakika mnastyle pongezi kwa kujituma. zaidi tunawaombe mungu azidi kuwaimarisha tuko pamoja bega kwa pega ili kuiendeleza BC.bongo celebrity inatisha tunaomba na wengine waige mfano wa BC.
BY CATHY!
Sorry my swahili is not that good any more, can you give us an english summary sometimes? How about
some advertising to support this great site.
Thank you for linking us with home.
MKJJ Kwa nini mada ya waitwao ‘waliofanya mzaha’ ndo iwe na umuhimu katika masahili baina yako naye? Wewe Mwanakijiji na Mwakyembe mlijuaje kuwa maafisa wa Serikali ndio wamefanya mzaha au wameongopa na isiwe wengineo waliowasilisha taarifa mapema?
HATIMAYE UZALENDO UMEKUSHINDA UMEANZA KUONYESHA RANGI ZAKO KAMILI KWA KUWAPIGA MKWARA WATUMISHI WA UMMA.
Leo nakuondolea uvivu ewe ujiitaye MKJJ maana suala la KUJITAHIDI KUWACHANGANYA NA KUDANGANYA UMMA KUWA WEWE NI MWANAHARAKATI WA HAKI NA MAENDELEO KUTOKA KAMBI YA UPINZANI WAKATI SIYO NI UNAFIKI WA HALI YA JUU. Unatakiwa kufanya kazi ambayo kwayo umeajiriwa kwa kufuata maadili ya kazi yako kama walivyo wenzako wengi na si vinginevyo.
Ndg.zangu Watanzania, mwanadamu ajiitaye Mwanakijiji Mtanzania aliyezaliwa 1953 huko Iringa (sitasema jina lake kamili) ni kiumbe mwenye majukumu, mitizamo na nia tofauti kabisa na yale anayoyaandika na kuyatangaza.
Hakuna cha mgongano wa fikra wala cha kusoma alama za nyakati yeye ndiye damu ya chaka mpikaji wa mazingaombwe kupitia taaluma yake anayoitumia kwa utaalamu unaoonekana kuwa wa hali ya juu lakini sasa anaumbuka baada ya kukutana na ama wanaolingana naye au wanaomzidi.
1.MKJJ yuko katika payroll (isiyo rasmi) ya Serikali yetu katika kazi ya usalama wa Taifa. Sio rasmi kwani ajira yake na majukumu yake hayafuati muundo wa kawaida(organogram) uliopo kitu ambacho kina utata hasa inapokuja katika uajibikaji wake na pia ulipwaji wa maslahi yake.
2. MKJJ ni mhitimu wa shahada ya kwanza (BA in Political Science)- Tanzania na pia Shahada ya uzamili (MA in Mass Communication & Media Arts)- USA. Baadaye alifaulu vizuri sana mafunzo ya upelelezi (Intensive course in Nationalism & Espionage) – Cuba chini ya Mwalimu wake gwiji aliyempenda sana kwa jina Mosses Powel . Hii inaeleza sababu ya MKJJ kupewa nafasi ya kuwa muhudumu (Usher) mmojawapo katika mazishi ya Powell 22.01.2005. Alipelekwa pia Trinidad & Tobago kwa ajili ya mafunzo ya ukakamavu na ulinzi wa kujikinga chini ya kitivo cha Powell ambaye ndiye mwanzilishi wa mashambulizi ya Sanuces Ryu Jujutsu lakini bahati mbaya MKJJ hakuwa mzuri sana katika somo hili.
MKJJ baada ya kushauriwa , alichagua kuendelea zaidi kubobea katika mbinu za kipepelezi za steganografia (steganography), Saitografia (Cytography) na Utafiti (Research) siraha zilizompa nafasi kupata mazoezi kwa njia ya vitendo katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Ministry of Defence).
3. Kwa sasa MNKJJ anafanya kazi ya kunusa na kuwachanganya Watanzania kwa kuandika na kuongea kwa style ya kukandia Serikali kwa sana kupitia majamvi na majukwaa mbalimbali kama vile Jamboforums.com, (http://jamboforums.com/); Gumzo la Kijiji (www.phpbbcity.com/forum/baraza.html); KLH news (http://mwanakijiji.podomatic.com); habari Tanzania (http://www.habaritanzania.com); Blog.co.tz (http://www.blog.co.tz/profiles/Mwanakijiji/); Bongo5 (http://www.bongo5.com); Podomatic (http://www.podomatic.com/people/index/mwanakijiji); Bongo radio (http://www.bongoradio.com); Dar Young African (http://www.youngafrican.com) na magazeti mbalimbali yaliyo katika mtandao.
Hutumia majina bandia kibao kama hilo la Mwanakijiji, Mkimbizi wa Kiuchumi, Madele wa Madilu, Lydia Ngosha n.k na idadi kubwa ya hayo majamvi anamoandika ya mtandaoni ni yeye anayeyamiliki ambayo mengi yake ni ya bure tu nay eye huonekana kuwa senior member mwenye nyota lukuki !
Awapo mtatandaoni huungwa mkono mara kwa mara na wanachama wasiomtambua (kama vile akina Steve D ) na wale wanaomtambua kama vile akina Theleza Nesaa, Da- chemi na motto wa Mkulima au pia ajiitaye Katibu Tarafa na wengine wengi.
4. Kwa kutumia utaalamu wake wa sanaa na fani ya uandishi na utangazaji, MKJJ anajificha ndani ya mbinu ya kijasusi ijulikanayo kama ‘The Italian Strategy of Tension with False Flag’. Ingawa ni mwanachama CCM lakini anapokuwa mtandaoni huvaa ngozi ya mbwa mwitu na kujiita Mkuu wa Taasisi ya Kitanzania ya Demokrasia, Maendeleo na Amani (TAKIDEMA). Kazi zake ni kama ifuatavyo:-
a. Kuanzisha mada chokozi (provocative topics) zenye kuleta hisia kali akisukuma makombora kwenye Serikali ikiwa ni namna ya kuwachokoza wananchi ili mnapoanza kusema au kuandika basi yeye anachukuwa notisi zake na kuwakabidhi waliomtuma kwa ajili ya kurekebisha panapotakiwa haraka iwezekanavyo. Hadhira yake kusudiwa ni hasa Watanzania walioko nje na hususani wasomi ambao wanaweza kuleta upinzani. Wachache walimshtukia alipopinga kinamna kuruhu suala la Uraia wan chi mbili !! sababu iko wazi nayo ni “you are either with us or against us!
BC ni inafanya vizuri ndio lakini hii tabia ya kuwaita watu celebrity wakati hata hawajafanikiwa sio nzuri.
tabia hii inawafanya watu waanze kujiona wa maana wakati hamna kitu,haiwezekania mtu hata pikipiki huna halafu unaitwa celebrity kisa unatangaza TV au unaimba vimuziki mziki.
katika nchi za wenzetu celebrities ni mfano wa kuigwa kwa kila kitu (kikazi,mafanikio,kifedha,kimavazi,)
tatizo hizi TV zinatudanganya,tunaparamia mambo ambayo huku kwetu hayaja fikia muda wake.
celebrities wa hapa una wakuta disco hata pesa ya bia hawana,wingine hata viingilio hawana wanaishia nje.
Aidia ni nzuri lakini kaeni kwanza mchambuwe watu,mjue hasa ni kina nani wanapaswa kufikia HADHI hiyo.
sio kukurupuka tu na kuwa ita watu celebrity mnawapumbaza,wanakuwa wajinga wana anza kubenuabenua nidomo uatafikiri (will smith).kina dada ndio usiseme.
ndugu wananchi tuache kuparamia mambo ya marekani.hizi TV ndizo zinazo tudanganya siki hizi.
Bc kazi nzuri sana. Web cite imetulia ile mbaya. Wise kwa ukweli ni kuwa hapa naona BC wao wanawatafuta watu maarufu, Sio kila mtu maarufu ana pesa, au ni mtu wa kuigwa kama unavyoamini. Hata ulaya kuna watu maarufu hawana pesa wala nini. Jaribu kuangali “You tube” uone watu wanayoutafuta umaarufu, na wanaupata by hits za watu wanaowaangalia. Hao madada wanaobinua midomo ni tabia zao tu, hata wasingekuwa celebrity wa BC.
BC mnafanya kazi nzuri. Nionavyo mimi, site yenu kuitwa BONGO CELEBRITY haina maana kuwa celebrities ndio watundikwe humu. Ni katika kutuletea habari ambazo zinawafanya watu wapate changamoto na kuchangia hoja ili kuleta maendeleo ya aina fulani kwenye jamii.
B.C.,
Mnafanya kazi nzuri. Mtandao (blog) wenu ni rahisi sana mchangia hoja kuchangia.
Ninawatakieni kila la heri katika kila mfanyalo.
Tuipende Tanzania Nchi Tuliyozaliwa.
Very good work BC. We need to celebrate our talents and stars. This way we will make our stars shine more and encourage our young ones to come up and shine.
One of my former band member “Vumbi Dekula”send me this today from Sweeden..I never see before,and this is the first T
and I was like “…Oh..My God..I should know this long time a go,because ” “Kiswahili is my original tongue” most of my song are sung in Kingwana (Kiswahili of eastern Congo)because I’m originaly from Kindu “just like Dr Remmy Ongala” (I’m from Bakusu tribe,difuma2 Matapa county,Kibombo District in Maniema Province(my grand father “mother side”is the grand-chief Muzelela (Kwa Muzelela)
Briefly,
Dr Remmy will tell you more (talk to him)
i love the web
i’m sooo happy to find you
I’m very very proud of your Job
Keep Up
God Bless You Guys
Sincerely,
Rachid King ( O’menyama )
Nawapongeza kwa wazo zuri ingawaje kuna mapungufu ya celebrity kama title na maudhui yake ingawa naona mabadiliko ni mazuri kila siku. Watazamaji makini tunapenda kuona web inayotujali. HEKO SANA
Well Its cool and i like from the first tym i went through it and now i visit it everytime when am tired of my books,Why dont u visit some campuses like ARU/UCLAS, UDSM, CBE….. am sure there cool stuffs too
I just found out about this blog site today and just blew me away.Its awesome big up.So interesting and beautiful.You got all it takes to be the best.Creme’ de la Creme’.All the best.
Nawashukuruni sana bongo Celebrity, habari mnazotupasha safi sana. Jamani Jeff naomba mtuwekee video au audio ya wimbo wa “Password” ya Twanga Pepeta please!
Asante sana,
Mbarikiwe and big up BC
Nyinyi ni wangu wa ndani BC, mnatupatia uchambuzi wa kina hasa juu ya wasanii wa TZ ambao wanavuma afrika mashariki…hivyo sina shaka kuwapongeza kwani kupitia mtandao huu ninawawasambazia wasikirizaji wa mkoa wa kaskazini mashariki mwa Kenya habri za kina kuhusu wasanii wa TZ ambao wana zimiwa kwa ngoma zao.
Kupia Redio STARFM, nawapeperusha habri nazozipata kwa mtandao huu.
Eee bwana eee nyinyi mnavuka boda 2 boda.
Ongezeni bidii nasio dumba. BC 4 life.
And now is the time for the heaven and of God that send more his power and miracles with healing and forgiven of sin through blood of Jesus and for that rise up more of workers and servant to help for lost people and for the kingdom of God ,so hurry and go an winning more people to Jesus with love and word of life,pray for blessed revival soon,thanksa nd blessa nd hope,keijo sweden
Big up na kazi yenu ni nzuri ila jaribuni
1. Kuisugua(up to date)mara kwa mara habari moja isikae muda mrefu
2. Taste ya rangi ktk front page inahitaji maboresho na ubunifu zaidi ili kukabili changamoto miongoni mwa blog nyingi zinazopatikana bongo kwa sasa .
Otherwise tunawashukuru sana kwa kazi yenu ya kutuhabarisha,umakini na Commitment mliyonayo kwa Jamii.
hey i’m from sri lanka and fond this site accidently.. but i was just facinated reading this site.. which showcase the real african picture to the world… i will defenitely check this more often now.. keep it up the good work… eventhough i coudnt understand most of the blogs.. ans posts whch was typed in a different language… i should say that i enjoyed the diversity….
thank you for getting a chance of saying something ,its real good website which feels me with a lot of news about tanzania in every session starting with entertainment,sports,news and etc ,i would like you guys to be sending me premier news via my email adress thank you and god bless you with lovely progress in producing this webpage
BC hebu nifafanulie please hiyo sentensi ‘All you wanted to Know but you didnt know how and where’ ina maanisha nini…
Kidogo hiyo lugha kama mmeichanganya vile?
Can we pls see interviews of people like Shose Sinare(Miss Tanzania ’96 and Miss Africa ’96)P Funk,Daz Nundaz,Aina Maeda (first Miss Tanzania)and if i think of anyone else i ‘ll let you know..thank you.
P.S:Pls renew your interviews list cause everytime i log in i find the same names,some having been interviewed twice even.
I was unaware until recently of this horrible situation happening in Tanzania…You see I couldn’t even imagine that such interracial prejudice based on mere superstition and knows what other motives beneath would prevail…It is so tragia and the international community ought to take immediate measures.
habari za kazi mzee natumaini upo poa kabisa.pia hongera sana mzee kwa kazi nzuri,inatupa sana furaha sisi tuliopo mbali na home kupata habari za home,pia mimi ni mdau wako pia naishi japan,huwa lazimaa kila siku niifungue blog yako ili nisome habari za nyumbani.pia imenipa muwamasa mpaka nami nimejaribu kufungua website yangu,kwa hiyo naomba uiangalie kama kuna makosa unisahihishe ili niweze kuiboresha zaidi,naomba pia uiweke kwenye blog yako ili na wadau wengine waweze kuiona na kutoa maoni yao.naomba sana unipe support mzee ili blog iwe bora, natanguliza shukrani zangu kwako, blog ni http://www.kamaoption.blogspot.com
hey sina cha kusema ila mnatisha sana vipindi vingine vya kijinga vina waongopa kama serikali ya tanzania na migomo ya walimu na wanafunzi rght
BIG LOVE!!!!!!!!!!!!!
BC ni pazuri na ninapapenda sana. Naomba kama mtaweza, BC mtutengenezee sehemu ya “CHEMBA”-Private. Sehemu ambayo sisi wachangiaji na hata hao Celebrities, tuwe tukiwasiliana kwa meseji “One By One”. Kwa njia hiyo, itatufanya tuelewane na watu wengi na kufanya urafiki na watu wengi. Hilo ni ombi langu!!!!!
oyaa cio cir umetushika vilivyo na bongo celebrity but kuna watu wanaboa sana hum ndani kwani wanatumia majina yetu kama a.ka. zao kiasi kwamba ukitafuta wakina mac utakuta kama milion kadhaa wizi mtupu acheni hizo enzi za mwalimu wangefungwa maisha kwa kuidanganya jamii ni mimi mac na zacs toka MB CITY
big up BC ,nice work i real like it nimekuwa nikisoma
habari nyingi za nyumbani especially wanamziki
nifaraja sana kujua na kusoma
na kujua nini kinaendelea nchini kwetu hasa kwa sisi tulio mbali na nyumbani imekua ni faraja sana
hey i’m from Canada and fond this site accidently.. but i was just facinated reading this site.. which showcase the real african picture to the world… i will defenitely check this more often now.. keep it up the good work… eventhough i coudnt understand most of the blogs.. ans posts whch was typed in a different language… i should say that i enjoyed the diversity….
Very good work BC. We need to celebrate our talents and stars. This way we will make our stars shine more and encourage our young ones to come up and shine.
hivi tigo wanakulipa au!?? kwasababu wametumia idear yako, kunatangazo linaonesha du mmoja, mchana ana……….. macapati na usiku fullll ma …….. disco, and dis was spoken by fid q kwenye utangulizi wa bongo flava. tujulishane
Mimi ni mkenya lakini nilizaliwa Tanzania na elimu yangu ya kwanza niliipatia huko katika mkoa wa Kilimanjaro maeneo ya Rombo. Huku nilikuja tu kujiendeleza kitaaluma. Kwa kweli Tanzania ni nchi nzuri iliyo pewa misingi hiyo na waasisi wetu Hayati Mwalimu na mzee Abeid Karume. Jamaa tuilinde na kuiendeleza ili tuweze kufikia malengo ambayo waasisi hawa walikuwa na matarajio nayo. Binadamu wote ni sawa na Africa ni moja. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa. Bongocelebrity juu juu zaidi.
Dear BC, this is a GREAT BLOG!
Its great to see that Bongo is represented well
using WordPress! Atamimi nimezaliwa Bongo!
Check out our Blog at http://www.kabyware.com!
We like to report on Celebrities from africa
as well. Please email us some of your stories
We would love to talk about them on our
site and send our regards to you!
In the future, I would like to trade links with you
and add you as one of my friends on our website!
One simple site with lots of good information.Keep it up .We need these kind of information and news for the growth of our societies.
i simply get evrything i need from BC, keep it up. big up.
The site is super cool, calm and very collective; above all it is one among the best, keep us posted!
Ingawa blog ziko nyingi sana siku hizi zinazotupatia habari za nyumbani, BC ni moja kati ya blog ninazoziheshimu kwa umakini wake wa kutupatia habari za nchi yetu pamoja na watu wake kwa ujumla. Nawapongeza na nawatakia mafanikio zaidi na zaidi. Daima mbele nyuma mwiko.
Fresh.
sie’mpre BC
BC,I love your site.You keep me informed and entertained.Keep it up guys.Nyie ndio mnaoitwa role models.
what can i say! kwanza naanza kwa kuwashukuru sana BC big up sana jamani hii blog inatisha yaani ina habari motomoto.nawapongeza sana lkn bado tunaomba mzidi zaidi na zaidi kazi yenu nzuri sana.naipenda BC nawatakia kazi njema.
I only recently came to find out about this site and wow,u guys are doing a great job..Keep the good work up n God bless ya’ll
Yeah, i found the out the site km mwezi now. I had 2 pass on previous stuffs. It’s really interestin’. Nilikosa mavituz kibao. Ni hazina kwangu cuz nazidi kuji-feel niko Bongo kila siku. More issues guyz. Keep it up. But keep on advestisin’ the site.
Hi & thank you for a nice site. Keep up the good work.
Greetings from the north.
eeeeeebwana mambo yenu yanatisha kwelikweliyani miminimewakubali ile mbaya.hamna mpinzani mazee mnatisha.amani kwenu.kazi njema watu wangu
BC katika vitu mnavyonifurahisha navyo kwanza nikwapa uhuru watanzania wote kufahamu hili na lile ndani na nje ya tz. kuwapa uhuru wasanii wa aina zote wa kuzungumzia kazi zao. ama kwa hakika mnastyle pongezi kwa kujituma. zaidi tunawaombe mungu azidi kuwaimarisha tuko pamoja bega kwa pega ili kuiendeleza BC.bongo celebrity inatisha tunaomba na wengine waige mfano wa BC.
BY CATHY!
ooooh nime enjoy alot aiise hii kitu imetulia makamuzii zaidi jamani kumbe BONGO tukoju kii viiiiii JOHN GODSON
Kaka this is an awesome site!!! SAAAAAFI!! Many props!!!!!!!
safi sana jamani na kazi ni nzuru ila jaribunikuwa na taste ya rangi hapa front page.otherwise its kul!!.
I appreciate your efforts,but try to fill the page with the names of politians for us to learn more,after all your works are good
Sorry my swahili is not that good any more, can you give us an english summary sometimes? How about
some advertising to support this great site.
Thank you for linking us with home.
Hi,hii site yenu ni nzuri sana ila problem ni colour,rangi ya hii BC imefifia sana jaribuni kuifanya iwe bright kama ya Michuzi senior.
naikubali BC,naichukulia kama sehemu ya maisha yangu haipiti siku bila kucheki bc,big up wahusika,
Kazi nzuri sana mimi nikikosa kuingia hapa najisiskia vibaya sana,keep it up!
THE TRUE COLOURS OF MWANAKIJIJI (MKJJ)
MKJJ Kwa nini mada ya waitwao ‘waliofanya mzaha’ ndo iwe na umuhimu katika masahili baina yako naye? Wewe Mwanakijiji na Mwakyembe mlijuaje kuwa maafisa wa Serikali ndio wamefanya mzaha au wameongopa na isiwe wengineo waliowasilisha taarifa mapema?
HATIMAYE UZALENDO UMEKUSHINDA UMEANZA KUONYESHA RANGI ZAKO KAMILI KWA KUWAPIGA MKWARA WATUMISHI WA UMMA.
Leo nakuondolea uvivu ewe ujiitaye MKJJ maana suala la KUJITAHIDI KUWACHANGANYA NA KUDANGANYA UMMA KUWA WEWE NI MWANAHARAKATI WA HAKI NA MAENDELEO KUTOKA KAMBI YA UPINZANI WAKATI SIYO NI UNAFIKI WA HALI YA JUU. Unatakiwa kufanya kazi ambayo kwayo umeajiriwa kwa kufuata maadili ya kazi yako kama walivyo wenzako wengi na si vinginevyo.
Ndg.zangu Watanzania, mwanadamu ajiitaye Mwanakijiji Mtanzania aliyezaliwa 1953 huko Iringa (sitasema jina lake kamili) ni kiumbe mwenye majukumu, mitizamo na nia tofauti kabisa na yale anayoyaandika na kuyatangaza.
Hakuna cha mgongano wa fikra wala cha kusoma alama za nyakati yeye ndiye damu ya chaka mpikaji wa mazingaombwe kupitia taaluma yake anayoitumia kwa utaalamu unaoonekana kuwa wa hali ya juu lakini sasa anaumbuka baada ya kukutana na ama wanaolingana naye au wanaomzidi.
1.MKJJ yuko katika payroll (isiyo rasmi) ya Serikali yetu katika kazi ya usalama wa Taifa. Sio rasmi kwani ajira yake na majukumu yake hayafuati muundo wa kawaida(organogram) uliopo kitu ambacho kina utata hasa inapokuja katika uajibikaji wake na pia ulipwaji wa maslahi yake.
2. MKJJ ni mhitimu wa shahada ya kwanza (BA in Political Science)- Tanzania na pia Shahada ya uzamili (MA in Mass Communication & Media Arts)- USA. Baadaye alifaulu vizuri sana mafunzo ya upelelezi (Intensive course in Nationalism & Espionage) – Cuba chini ya Mwalimu wake gwiji aliyempenda sana kwa jina Mosses Powel . Hii inaeleza sababu ya MKJJ kupewa nafasi ya kuwa muhudumu (Usher) mmojawapo katika mazishi ya Powell 22.01.2005. Alipelekwa pia Trinidad & Tobago kwa ajili ya mafunzo ya ukakamavu na ulinzi wa kujikinga chini ya kitivo cha Powell ambaye ndiye mwanzilishi wa mashambulizi ya Sanuces Ryu Jujutsu lakini bahati mbaya MKJJ hakuwa mzuri sana katika somo hili.
MKJJ baada ya kushauriwa , alichagua kuendelea zaidi kubobea katika mbinu za kipepelezi za steganografia (steganography), Saitografia (Cytography) na Utafiti (Research) siraha zilizompa nafasi kupata mazoezi kwa njia ya vitendo katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Ministry of Defence).
3. Kwa sasa MNKJJ anafanya kazi ya kunusa na kuwachanganya Watanzania kwa kuandika na kuongea kwa style ya kukandia Serikali kwa sana kupitia majamvi na majukwaa mbalimbali kama vile Jamboforums.com, (http://jamboforums.com/); Gumzo la Kijiji (www.phpbbcity.com/forum/baraza.html); KLH news (http://mwanakijiji.podomatic.com); habari Tanzania (http://www.habaritanzania.com); Blog.co.tz (http://www.blog.co.tz/profiles/Mwanakijiji/); Bongo5 (http://www.bongo5.com); Podomatic (http://www.podomatic.com/people/index/mwanakijiji); Bongo radio (http://www.bongoradio.com); Dar Young African (http://www.youngafrican.com) na magazeti mbalimbali yaliyo katika mtandao.
Hutumia majina bandia kibao kama hilo la Mwanakijiji, Mkimbizi wa Kiuchumi, Madele wa Madilu, Lydia Ngosha n.k na idadi kubwa ya hayo majamvi anamoandika ya mtandaoni ni yeye anayeyamiliki ambayo mengi yake ni ya bure tu nay eye huonekana kuwa senior member mwenye nyota lukuki !
Awapo mtatandaoni huungwa mkono mara kwa mara na wanachama wasiomtambua (kama vile akina Steve D ) na wale wanaomtambua kama vile akina Theleza Nesaa, Da- chemi na motto wa Mkulima au pia ajiitaye Katibu Tarafa na wengine wengi.
4. Kwa kutumia utaalamu wake wa sanaa na fani ya uandishi na utangazaji, MKJJ anajificha ndani ya mbinu ya kijasusi ijulikanayo kama ‘The Italian Strategy of Tension with False Flag’. Ingawa ni mwanachama CCM lakini anapokuwa mtandaoni huvaa ngozi ya mbwa mwitu na kujiita Mkuu wa Taasisi ya Kitanzania ya Demokrasia, Maendeleo na Amani (TAKIDEMA). Kazi zake ni kama ifuatavyo:-
a. Kuanzisha mada chokozi (provocative topics) zenye kuleta hisia kali akisukuma makombora kwenye Serikali ikiwa ni namna ya kuwachokoza wananchi ili mnapoanza kusema au kuandika basi yeye anachukuwa notisi zake na kuwakabidhi waliomtuma kwa ajili ya kurekebisha panapotakiwa haraka iwezekanavyo. Hadhira yake kusudiwa ni hasa Watanzania walioko nje na hususani wasomi ambao wanaweza kuleta upinzani. Wachache walimshtukia alipopinga kinamna kuruhu suala la Uraia wan chi mbili !! sababu iko wazi nayo ni “you are either with us or against us!
BC ni inafanya vizuri ndio lakini hii tabia ya kuwaita watu celebrity wakati hata hawajafanikiwa sio nzuri.
tabia hii inawafanya watu waanze kujiona wa maana wakati hamna kitu,haiwezekania mtu hata pikipiki huna halafu unaitwa celebrity kisa unatangaza TV au unaimba vimuziki mziki.
katika nchi za wenzetu celebrities ni mfano wa kuigwa kwa kila kitu (kikazi,mafanikio,kifedha,kimavazi,)
tatizo hizi TV zinatudanganya,tunaparamia mambo ambayo huku kwetu hayaja fikia muda wake.
celebrities wa hapa una wakuta disco hata pesa ya bia hawana,wingine hata viingilio hawana wanaishia nje.
Aidia ni nzuri lakini kaeni kwanza mchambuwe watu,mjue hasa ni kina nani wanapaswa kufikia HADHI hiyo.
sio kukurupuka tu na kuwa ita watu celebrity mnawapumbaza,wanakuwa wajinga wana anza kubenuabenua nidomo uatafikiri (will smith).kina dada ndio usiseme.
ndugu wananchi tuache kuparamia mambo ya marekani.hizi TV ndizo zinazo tudanganya siki hizi.
Bc kazi nzuri sana. Web cite imetulia ile mbaya. Wise kwa ukweli ni kuwa hapa naona BC wao wanawatafuta watu maarufu, Sio kila mtu maarufu ana pesa, au ni mtu wa kuigwa kama unavyoamini. Hata ulaya kuna watu maarufu hawana pesa wala nini. Jaribu kuangali “You tube” uone watu wanayoutafuta umaarufu, na wanaupata by hits za watu wanaowaangalia. Hao madada wanaobinua midomo ni tabia zao tu, hata wasingekuwa celebrity wa BC.
BC mnafanya kazi nzuri. Nionavyo mimi, site yenu kuitwa BONGO CELEBRITY haina maana kuwa celebrities ndio watundikwe humu. Ni katika kutuletea habari ambazo zinawafanya watu wapate changamoto na kuchangia hoja ili kuleta maendeleo ya aina fulani kwenye jamii.
very good , useful site bongocelebrity.com
Dear BC,
Great work ladies & gentlemen……
Amazing work…Tanzania is on the map on the world once again;
For good reasons too….
Amen…..
What do you mean ?
B.C.,
Mnafanya kazi nzuri. Mtandao (blog) wenu ni rahisi sana mchangia hoja kuchangia.
Ninawatakieni kila la heri katika kila mfanyalo.
Tuipende Tanzania Nchi Tuliyozaliwa.
KWA KWELI MNAJITAHIDI. NAWAPA GIG UP.
kwa kweli mmejitahidi sana babu kubwa sio mchezo kabisa endeleeni hivyo hivyo kulitangaza taifa.
Big up
Mazee joo leo nimeona vitu vyako kweli pamba za KP si mchezo. Big up & I salute yu sana
KP endelea kufanya mambo ” Ugali ni mtamu ukiwa wamoto” bigup sana mkubwa.
Very good work BC. We need to celebrate our talents and stars. This way we will make our stars shine more and encourage our young ones to come up and shine.
Keep it up guys!!!
blog imetulia kusema ukweli ila tunahitaji ubunifu zaidi kuleta changamoto mingoni mwa blog nyingi zinazopatikana bongo kwa sasa ,
i hust love this websites, it gives all the best of kev….
It’s better than nothing.
much respect.
keep up the good work.
one love.
I just like this website it’s amazing to ave it… just happy i vbisited it ..
love the web
Good Job
Proud of You
Well Done
One of my former band member “Vumbi Dekula”send me this today from Sweeden..I never see before,and this is the first T
and I was like “…Oh..My God..I should know this long time a go,because ” “Kiswahili is my original tongue” most of my song are sung in Kingwana (Kiswahili of eastern Congo)because I’m originaly from Kindu “just like Dr Remmy Ongala” (I’m from Bakusu tribe,difuma2 Matapa county,Kibombo District in Maniema Province(my grand father “mother side”is the grand-chief Muzelela (Kwa Muzelela)
Briefly,
Dr Remmy will tell you more (talk to him)
i love the web
i’m sooo happy to find you
I’m very very proud of your Job
Keep Up
God Bless You Guys
Sincerely,
Rachid King ( O’menyama )
Tangu nilipoanza kufuatilia web hii nina enjoy vya kutosha kwa sababu napata habari za watu mbalimbali, BIG UP WAZEE
mi nawafagilia kama mmenipa limbwata hapa sikosi daily
NIMEFURAHISHWA NA HII BLOG PAMOJA NA MICHANGO YOTE. NINAWAOMBA WAPAMBE NA WACHOCHEZI WAKAE CHONJO. ENDELEENI.
Ebwana nilikuwa sijajua kama kuna web kama hii! nimekubali yani ni full every thing! ebwana big up sana kwa kutupasha yanayoendelea apo kwetu TZ.
Ni blog nzuri sana kwa kweli nilikuwa siijui ila nimeijua blog hii kwa kupitia ile ya michuzi keep it up guys.
I have some photoes and I would like to send it for people to see it.
BALTAZAR
DIRECTOR,KIPEPEO TOURS
ARUSHA-TANZANIA
Nawapongeza kwa wazo zuri ingawaje kuna mapungufu ya celebrity kama title na maudhui yake ingawa naona mabadiliko ni mazuri kila siku. Watazamaji makini tunapenda kuona web inayotujali. HEKO SANA
Well Its cool and i like from the first tym i went through it and now i visit it everytime when am tired of my books,Why dont u visit some campuses like ARU/UCLAS, UDSM, CBE….. am sure there cool stuffs too
I just found out about this blog site today and just blew me away.Its awesome big up.So interesting and beautiful.You got all it takes to be the best.Creme’ de la Creme’.All the best.
Naomba mumuweke Nora Ng’wizukulu Jilala, tumsasambue na yeye kidogo.
Nawashukuruni sana bongo Celebrity, habari mnazotupasha safi sana. Jamani Jeff naomba mtuwekee video au audio ya wimbo wa “Password” ya Twanga Pepeta please!
Asante sana,
Mbarikiwe and big up BC
I real apreciate you guts,keep it up man…..Mko makini na habari zenu za home kweli tunazifurahia sana…..Pull up ur sosks man….
I real apreciate you guys,keep it up man…..Mko makini na habari zenu za home kweli tunazifurahia sana…..Pull up ur socks man….
Nyinyi ni wangu wa ndani BC, mnatupatia uchambuzi wa kina hasa juu ya wasanii wa TZ ambao wanavuma afrika mashariki…hivyo sina shaka kuwapongeza kwani kupitia mtandao huu ninawawasambazia wasikirizaji wa mkoa wa kaskazini mashariki mwa Kenya habri za kina kuhusu wasanii wa TZ ambao wana zimiwa kwa ngoma zao.
Kupia Redio STARFM, nawapeperusha habri nazozipata kwa mtandao huu.
Eee bwana eee nyinyi mnavuka boda 2 boda.
Ongezeni bidii nasio dumba. BC 4 life.
hey!!!this is good for everybody, from our cerebrities to us, funs!!!!
stay calm !
BC hongereni,mnawapa watz kitu roho inapenda.
And now is the time for the heaven and of God that send more his power and miracles with healing and forgiven of sin through blood of Jesus and for that rise up more of workers and servant to help for lost people and for the kingdom of God ,so hurry and go an winning more people to Jesus with love and word of life,pray for blessed revival soon,thanksa nd blessa nd hope,keijo sweden
BC is the best,Bigup!
Thanks BC for giving us information from reliable sources
Nawaponeza BC kwa kazi zenu nzuri na za uhakika
endeleeni kutupa raha
AMAZING SITE……KEEP IT UP BC…MAKE US TANZANIANS PROUD……
nimepata challange sana kwenye hii blog, kuna kitu kinakuja na kwa sehem kubwa kimetokana na hii blog yako. keep it up!
nimewakubal………!
2nashukulu mnajitahidi sana ku2patia habari ambazo zinauhakika zaidi haswa yale mahojiano ya mojakwa moja na wahusika.
ya itz a nice site since i used to get many breakn newz and othez so guyz keep it up!!!!!!! Real i appreciate CB
I like this one, thanks for representin.
check out oslusmusic.com
hongera BC
BC mazee mnapoteza….. big up sana.
Information is power, let’s participate in making history.
You can not change history by any means but you can create it by every means.
Unless we believe in this we will never make a foward step.
mnajitahidi sana, mna malengo sahihi, hamjakurupuka, mnakusanya habari za kina kiutaalam(professionalism) keep it up
Big up na kazi yenu ni nzuri ila jaribuni
1. Kuisugua(up to date)mara kwa mara habari moja isikae muda mrefu
2. Taste ya rangi ktk front page inahitaji maboresho na ubunifu zaidi ili kukabili changamoto miongoni mwa blog nyingi zinazopatikana bongo kwa sasa .
Otherwise tunawashukuru sana kwa kazi yenu ya kutuhabarisha,umakini na Commitment mliyonayo kwa Jamii.
hey, im new here……………
nataka kuzungumza kuhusu huyu mwakilishi wetu wa bba 3. latoya!
Good work hamna ku-copy na Ku-paste hapa,keep it up u r the best
hey i’m from sri lanka and fond this site accidently.. but i was just facinated reading this site.. which showcase the real african picture to the world… i will defenitely check this more often now.. keep it up the good work… eventhough i coudnt understand most of the blogs.. ans posts whch was typed in a different language… i should say that i enjoyed the diversity….
nakafagilia haka ka blog/web
hey this is one of my best site, you guys are doing a great job big up to BC .
thank you for getting a chance of saying something ,its real good website which feels me with a lot of news about tanzania in every session starting with entertainment,sports,news and etc ,i would like you guys to be sending me premier news via my email adress thank you and god bless you with lovely progress in producing this webpage
BC hebu nifafanulie please hiyo sentensi ‘All you wanted to Know but you didnt know how and where’ ina maanisha nini…
Kidogo hiyo lugha kama mmeichanganya vile?
Haika sana
BC keeps update with latest information ,
Thanks and Big UP
web site jenu ni nzuri keep it up
Mzuka kinoma
siri ya mtungi aijuaye ngata,HONGERENI SANA.AFANYAYE JEMA ASTAHILI PONGEZI.
Can we pls see interviews of people like Shose Sinare(Miss Tanzania ’96 and Miss Africa ’96)P Funk,Daz Nundaz,Aina Maeda (first Miss Tanzania)and if i think of anyone else i ‘ll let you know..thank you.
P.S:Pls renew your interviews list cause everytime i log in i find the same names,some having been interviewed twice even.
You have tried a lot in putting photos so i think you deserve a word of praise!lol!
Your website is awesome,Great job! You make us Tanzanians proud. Keep it up!
nice work jeff and team!
hongera sana kwa kuelimisha jamii.
ua website z fabulous!!! aluta continua…..!!!!!!!
I was unaware until recently of this horrible situation happening in Tanzania…You see I couldn’t even imagine that such interracial prejudice based on mere superstition and knows what other motives beneath would prevail…It is so tragia and the international community ought to take immediate measures.
habari za kazi mzee natumaini upo poa kabisa.pia hongera sana mzee kwa kazi nzuri,inatupa sana furaha sisi tuliopo mbali na home kupata habari za home,pia mimi ni mdau wako pia naishi japan,huwa lazimaa kila siku niifungue blog yako ili nisome habari za nyumbani.pia imenipa muwamasa mpaka nami nimejaribu kufungua website yangu,kwa hiyo naomba uiangalie kama kuna makosa unisahihishe ili niweze kuiboresha zaidi,naomba pia uiweke kwenye blog yako ili na wadau wengine waweze kuiona na kutoa maoni yao.naomba sana unipe support mzee ili blog iwe bora, natanguliza shukrani zangu kwako, blog ni http://www.kamaoption.blogspot.com
u’re doing a fantastic job,keep it up
hey sina cha kusema ila mnatisha sana vipindi vingine vya kijinga vina waongopa kama serikali ya tanzania na migomo ya walimu na wanafunzi rght
BIG LOVE!!!!!!!!!!!!!
BC ni pazuri na ninapapenda sana. Naomba kama mtaweza, BC mtutengenezee sehemu ya “CHEMBA”-Private. Sehemu ambayo sisi wachangiaji na hata hao Celebrities, tuwe tukiwasiliana kwa meseji “One By One”. Kwa njia hiyo, itatufanya tuelewane na watu wengi na kufanya urafiki na watu wengi. Hilo ni ombi langu!!!!!
Am an upcoming hip hop artiste from Kenya.
kazi nzuri Jeff. endeleza mavituz.
thumbs up for this website.keeps us connected back home.keep it up.napenda zaidi muziki ya zama zile.oss,ddc,ottu n.k
oyaa cio cir umetushika vilivyo na bongo celebrity but kuna watu wanaboa sana hum ndani kwani wanatumia majina yetu kama a.ka. zao kiasi kwamba ukitafuta wakina mac utakuta kama milion kadhaa wizi mtupu acheni hizo enzi za mwalimu wangefungwa maisha kwa kuidanganya jamii ni mimi mac na zacs toka MB CITY
If u don’t like this,you won’t likd anything else.
Mzee nimekubali. hasa bakurutu. Unatukumbusha enzi zile. safi sana. Endeleeni kutupa raha.
U dONe iT and StILL DoiNg gUd jOB.
kP It uP mY DeaRS.
tunashukuru kwa kuwa mnatupatia habari za nyumbani hasa watu kama sisi tulio nchi za nje.hajiez-greece
big up BC ,nice work i real like it nimekuwa nikisoma
habari nyingi za nyumbani especially wanamziki
nifaraja sana kujua na kusoma
na kujua nini kinaendelea nchini kwetu hasa kwa sisi tulio mbali na nyumbani imekua ni faraja sana
hey i’m from Canada and fond this site accidently.. but i was just facinated reading this site.. which showcase the real african picture to the world… i will defenitely check this more often now.. keep it up the good work… eventhough i coudnt understand most of the blogs.. ans posts whch was typed in a different language… i should say that i enjoyed the diversity….
Very good work BC. We need to celebrate our talents and stars. This way we will make our stars shine more and encourage our young ones to come up and shine.
Nilikuwa naangalia website http://www.safarilands.org pia ina informations nzuri kuhusu utalii Tanzania na Wanyama, keep it up!
This site is very good
Big up guys!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
DAAAAAAA!!!!!!!!!! UNAZIBA AU UNAZIBUA? FEEE? UNAPOTEZA MBAYA SIS ANGU, KEEP IT UP!
FETY U> NO UME SORYY I MEAN UNA MMMMMMM!!! UNA MCHUMBA< AU BADO UPO*2
hivi tigo wanakulipa au!?? kwasababu wametumia idear yako, kunatangazo linaonesha du mmoja, mchana ana……….. macapati na usiku fullll ma …….. disco, and dis was spoken by fid q kwenye utangulizi wa bongo flava. tujulishane
Mimi ni mkenya lakini nilizaliwa Tanzania na elimu yangu ya kwanza niliipatia huko katika mkoa wa Kilimanjaro maeneo ya Rombo. Huku nilikuja tu kujiendeleza kitaaluma. Kwa kweli Tanzania ni nchi nzuri iliyo pewa misingi hiyo na waasisi wetu Hayati Mwalimu na mzee Abeid Karume. Jamaa tuilinde na kuiendeleza ili tuweze kufikia malengo ambayo waasisi hawa walikuwa na matarajio nayo. Binadamu wote ni sawa na Africa ni moja. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa. Bongocelebrity juu juu zaidi.
Nilikuwa na surf nikakutana na hii site http://www.shwari.com ,hebu jaribu kuicheki
Wazungu wako wapi?
Dear BC its my first time to open this blog, keep it up,
Rome was not built in one year
Dear BC, this is a GREAT BLOG!
Its great to see that Bongo is represented well
using WordPress! Atamimi nimezaliwa Bongo!
Check out our Blog at http://www.kabyware.com!
We like to report on Celebrities from africa
as well. Please email us some of your stories
We would love to talk about them on our
site and send our regards to you!
In the future, I would like to trade links with you
and add you as one of my friends on our website!
Let us know!
Thanks,
Kabyware