Gea Habib(pichani) mmojawapo kati ya watangazaji mahiri wa Clouds FM. Anaendesha kipindi kiitwacho Kwa Raha Zetu ambacho husikika kila jumapili kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 3 usiku.
Gea Habib(pichani) mmojawapo kati ya watangazaji mahiri wa Clouds FM. Anaendesha kipindi kiitwacho Kwa Raha Zetu ambacho husikika kila jumapili kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 3 usiku.
Usione vyaelea…
shangingi la nguvu!
mh inaonesha kwa mipasho huyu nae yumo!!!!!!
🙂 ni vema kutambua kipaji chako……mipasho nayo ni kipaji…..is it sanaa? Kila la kheri ktk shughuli zako za kila siku.
Si mchezo mipasho inaladha yake kwa anayejua kupashua kama Denah.
Weee Gasto naona ushaanza kuwashwa na Dinah, kwani hamuwezi kutoa comment without tajaring jina la Dinah.
Duuuuuh!!! kazi ipo…akifufuka muhasisi wa taaratbu Siti binti Saadi….
Naomba kuwasilisha
Lol Kolo seems wewe ndo unatatizo huwezi toa comment bila kuwashwa na comment ya mwenzio…
Mambo ya wanawake hayo waachieni wenyewe…..
anamvuto,ila hanaonekana mapepe
its ana not hana
Siku wahi kumuona huyu Gea Habib kumbe ana vutia wow.
Mwanzo nilikwua sipendikusikiliza niliona ni kipindi cha ushambenga na uswahili haswa zile sauti zao, ila kwa sasa huwa sikosi kusikiliza Leo Tena na kipindi kinachofuata, maana napenda sana lile tangazo la wanawake wa uswahilini wana pigana kusema eti “Ãœna nifuata fuata , kwamba na kula nini na navaa nini” , pale tuu huwa pananiacha hoi.Hongerasana Gea na Dinna Marios.
Wewe TanzanianDream mbona un amambo ya kike , comment ako za kishoga shoga tuu, hivi una tatizo ndio maana SUNCHE PYAREKHE , ukome kabisa, mimi na wasi wasi na wewe una weza kuwa akama mimi ila unajifisha , Nyambaffu!!!!!!!!!!!!
“AKUMBUKWE AMINA CHIFUPA” MUANZILISHI WA KIPINDI
Weeeee huyo ndo GEA HABIB aka VIP!!MAMA LAO.hizo fani za watu mipasho ndugu yangu ka huiwezi itaishia tiwa vidole vya macho kila siku,
Gea mamaaa kwa RAHA ZEU
Gea ni bonge la demu. Anafit kabsaaaa kwenye mipasho….Mvuto wa nguvu.
Huyu Gea mimi nimemkubali mambo yake.Hongera sana angalia sana macho ya watu wengine sio wema kwako.
Nakukubali sista mi ndo msikilizaji nambari moja wa kipindi chako,endeleza bakora da Gea kwa sanaaaa tuuuu.
Ni kati ya watangazaji waukweli namkubali.