Je umezisoma interview tulizofanya na celebrities hawa? Kama bado bonyeza tu juu ya jina la celebrity umpendaye au utakaye kumsoma na moja kwa moja utapelekwa kwenye ukurasa wenye mahojiano tuliyofanya naye. Zingine sio interview kamili bali historia nzima ya maisha yao. Karibu.
Jacquiline Ntuyabaliwe –K-Lyinn.
hongereni kwa kazi nzuri sna mnayoifanya.mimi nilikuwa nasugested kwenye bongo celebrity mkaweka hata mawaziri au hata kama sio waziri basi mtu yoyote ambate mchango wake unaonekana katika jamii peolpe lakini hellen bijo bisimba,Anna Tibaijika, salama kikwete , mama mkapa,hata vikundi vya maigizo ngoma utamaduni kama sisis tambal, jumba la dhahabu.wasanii kama Johari, Kanumba.hata wainjili kama kina rose Muhando, Upendo Nkone kwa sababu wote wana play big role kebye jamii,mbali na hilo pia ni njia ya kutangaza kazi zao katika jamii.asante nawatakia kazi njema.
Ninapendalea sana kucheki picha za maisha ya wanyama hasa zikiwa ni za video, za mgando nazo nazipenda lakini siyo kama za vi9deo
yo tight brother! the mass is behind u. just roll on da dice no matter wt they do!
hongereni sana kwa hii mavituz yenu,mm napenda mfukue hadi muwapate ma-shemale wa hapa hapa bongo na watoe addres zao watu wawasiliane nao,yani hiyo itakuwa mwake sana,jaribuni kuwatafuta muwaweke pic zao humu muone jinsi mtakavyopata wasomaji kibao humu,Big Up
keep it well ISSA,your very portential person in this modern tanzania.Actually if vijana knows where to browse your work i`m sure they could enjoy a lot.Keep it up men.Idedicate to work on society (youth)SO
work hard to advise the young guys to stop drugs and sex maniac as to finish the problem of AIDS SCOGE.
Tunashukuruni sana kwa kutuletea habari nzuri na zenye kuvutia na za kutufanya tujue habari za watanzania wenzetu….just wanna say BIG UP SANA
this iz fantastic ….i like it
mambo vp bongo celeblebrity?mim ushauri wangu kwenu,jitaidini kuboresha kazi zenu ila kiwango mlicho fikia kusema ukweli kibongo-bongo mnatisha ile mbaya wa2 wangu,alafu ki2kingine vp mbona page zingine zinakuwa azifunguki?au ni mimi mwenyewe?n-wayz big-up sana
Jamani wahusika wa Celebrity mpo juu ila fanyeni kazi ya kumtafuta FINA MANGO wa clouds mmuweke umu ndani na mmuoji kama wakina lady jay dee wau yule dada aliyekuwa Matron wa miss Vodacom 2007 Fancy Nkuhi napenda niwajue undani wao may be naweza nikaishi style zao wanazoweza kuishi.sio nusu nusu hapana.Asanten
Haswa Mdau wa hapo juu,Mimi pia nina hamu sana ya kusoma undani wake na maisha yake kwa ujumla,Fina Mango ata uyo Dada aliyekuwa Matron wa Miss TZ 2007,Fancy.Napenda sana kazi zao.Bongocelebrity kazi yenu nzuri sana.Ila watafuteni hao watu jamani.
This is more than the best……
BC big up!!!!!!!!!……
Hongera sana dada!!!
kazana na kazi yako
big up Aisha
Mum
i find charles hirary interview full of joy. this guy is talented
Big up Wandugu,naomba nijue habari za mlimbwende Happiness Magesse,
Wasandeni saana,
BIG UP KWA KAZI MNAYO IFANYA MIMI NAKUABALINA NANYI KWA MATUKIO AMBAYO MNAKUA MNATUHABARISHA KILA SIKU KUHUSIANA NA YALE YANAYO TOKEA DUNIANI..BIG UP NI HAYO TUUUUUUUUUUUUUUU, IM GREYGORY HENRY TZ
Its gud!
We are getng difrnt newz from BC.
Ni hayo 2, ma Bro & Sis!!
GOD Bless U ol….!!!!!!!!
BC is it possible to have Nancy Sumari in the house? Pleaseeee!!!,i real like that girl.
picha zenu chache
kwa bkog kuwa nzuri picha ni muhimu. co mbaya mwanzo mzuuri. muwe mnashurika.
hey u got be so squeezing hard guys ok
wajameni vipi kuhusu huyu celebrity wetu aliyeko big brother mtamuhoji lini tujue habari zake
namzungumzia latoya
amefanya nini latonya
good job fanyeni juu chini mtuletee mpaka rais wa jamuhuri
kuliloni latoya kutoka mapema kiasi hiki?
Fetty fanya if pocbo ht kesho uniwekee ile last enterview waliyoifanya akina B12 na Chidd Benz. Do that m2 wangu!
Nimefalijika sana na comments za waliotangulia ila kwangu na kuja kiaana nyingine kuhusu nchi yetu inakoenda,ni pale wanajamii wengine wanaishi kwa shida na wengine wanafulahia maisha kama wako peponi.
Agenga; Albino
Unajua ukianza kujiuliza kuhusu suala la maalbino utaona ya kuwa wanaonewa sana na wanawanyanyapaa maana sasa kwenda shule inakuwa shida kutembea peke yake shida.
kwa maantiki hiyo viongozi wahusika na jamii kwa ujumla wanabaki kushangaa wakisikia tu albino kakatwa viongo hiyo nikila siku au kila kukichwa.
wahusika wakiachiwa huru, hatua hazichukuliwi upazavyo.
Chanzo cha mauaji kikianzia kwa waganga wakienyeji na watu wanaoshawishiwa na waganga wakienyeji upata viungo vya
albino utakuwa tajiri kama utaleta tukikufanyia dawa,au wenye migodi ya madini wakifanya hivyo.
sasa serikali ipige marufuku waganga wakienyeji kufanya shughuli zao.
Jamii ielewe Albino ni watu kama sisi tusie kuwa ugonjwa wa ngozi.
Jamii ieleimishwi kuhusu mauaji ya albino ili yasifanyike hapa nchini,tuwena ushirikiano kukomesha mauaji ya albino.
serikali kwa ujumla iwe na msimamo zabiti wakutembea nchi zini kuelimisha jamii ielewe kuwa albino viongo vyao si dili kama wanavyosema.
kwa maitiki hiyo elimu ikifika kwa jamii na walengwa basi hapata kuwepo na mauaji.
muhimu sana waganga wakienyeji watukiwe sheria ambayo itawabana pale akipatikana na hatia ya mauaji ya albino kwa anyongwe au wafungwe maisha na asifanye tena shughulli ya uganga.
kuwepo na utaratibu wakuwafatilia waganga wakienyeji kama wanavyofanya TRA kufatilia kukusanya kodi.
Mkereketwa
Haji fuko
P.O.BOX 42125
Dar es salam
Tanzania
WEKA PICHA UUZE BLOG NDUGU YANGU.
OTHERWISE U GAT A GUD AIDIA.
mzuka kaka,unafanya kazi nzuri sana na unastahili pongezi coz blog yako nio ya ukweli, kaza buti safari bado ndefu. Endelea ku2pa burudani wa2 wako,kazi njema