BONGO CELEBRITY

All You Wanted To Know But Didn’t Know How and Where

UMEZISOMA HIZI? September, 13, 2007

Je umezisoma interview tulizofanya na celebrities hawa? Kama bado bonyeza tu juu ya jina la celebrity umpendaye au utakaye kumsoma na moja kwa moja utapelekwa kwenye ukurasa wenye mahojiano tuliyofanya naye. Zingine sio interview kamili bali historia nzima ya maisha yao. Karibu.

Flaviana Matata

Muhidini Issa Michuzi

AY

Masoud Kipanya

Jacquiline Ntuyabaliwe –K-Lyinn.

Ahmad Issa Michuzi (Jr)

Professor Jay

Richa Adhia

Ray C

Lawrence Mwalusako

DJ Seydou

Bi.Kidude

Mbaraka Mwinshehe

Ndesanjo Macha

Zitto Kabwe (MP)

Mr.Nice

Khadija Mwanamboka

Charles Hilary Nkwanga.

Juma Nature

Richa Adhia 2

Issa Michuzi 2

Fresh Jumbe

Hashim Lundenga

DR.ASHA ROSE MIGIRO

MANDOJO NA DOMOKAYA

Q-CHILLA

SHEIKH YAHYA HUSSEIN

Mwalimu J.K.NYERERE

AISHA MADINDA

DR.REMMY ONGALA

Steve Kanumba

Gertrude Mongella

Mzee Kipara

Ali Hassan Mwinyi

Sultan Tamba

Lady Jaydee.

Mrisho Mpoto

Rita Paulsen

Prof.Ibrahim Lipumba

Dina Marios

Amani Abeid Karume

Jokate Mwegelo

Shafi Adam Shafi

Freddy Macha I

Bibi Titi Mohamed

Stara Thomas

Fina Mango

Dr.Willbrod Peter Slaa.

Freddy Macha II

Mohamed Abdulrahman

Masoud Kipanya II

Nakaaya

Joseph Sinde Warioba

Profesa Joseph Mbele

John Mashaka.

Sheikh Abeid Amani Karume.

Meja Jenerali Zawadi Madawili

John Mnyika

MwanaFalsafa

 

 

 

 

 

 

 

 

 

31 Responses to “UMEZISOMA HIZI?”

  1. anonymous Says:

    hongereni kwa kazi nzuri sna mnayoifanya.mimi nilikuwa nasugested kwenye bongo celebrity mkaweka hata mawaziri au hata kama sio waziri basi mtu yoyote ambate mchango wake unaonekana katika jamii peolpe lakini hellen bijo bisimba,Anna Tibaijika, salama kikwete , mama mkapa,hata vikundi vya maigizo ngoma utamaduni kama sisis tambal, jumba la dhahabu.wasanii kama Johari, Kanumba.hata wainjili kama kina rose Muhando, Upendo Nkone kwa sababu wote wana play big role kebye jamii,mbali na hilo pia ni njia ya kutangaza kazi zao katika jamii.asante nawatakia kazi njema.

  2. Deus Gabone Says:

    Ninapendalea sana kucheki picha za maisha ya wanyama hasa zikiwa ni za video, za mgando nazo nazipenda lakini siyo kama za vi9deo

  3. Maulid a.k.a Suge Says:

    yo tight brother! the mass is behind u. just roll on da dice no matter wt they do!

  4. kabukalilo Says:

    hongereni sana kwa hii mavituz yenu,mm napenda mfukue hadi muwapate ma-shemale wa hapa hapa bongo na watoe addres zao watu wawasiliane nao,yani hiyo itakuwa mwake sana,jaribuni kuwatafuta muwaweke pic zao humu muone jinsi mtakavyopata wasomaji kibao humu,Big Up

  5. keep it well ISSA,your very portential person in this modern tanzania.Actually if vijana knows where to browse your work i`m sure they could enjoy a lot.Keep it up men.Idedicate to work on society (youth)SO

  6. work hard to advise the young guys to stop drugs and sex maniac as to finish the problem of AIDS SCOGE.

  7. MaryAnn Says:

    Tunashukuruni sana kwa kutuletea habari nzuri na zenye kuvutia na za kutufanya tujue habari za watanzania wenzetu….just wanna say BIG UP SANA

  8. MaryAnn Says:

    this iz fantastic ….i like it

  9. stay-wat Says:

    mambo vp bongo celeblebrity?mim ushauri wangu kwenu,jitaidini kuboresha kazi zenu ila kiwango mlicho fikia kusema ukweli kibongo-bongo mnatisha ile mbaya wa2 wangu,alafu ki2kingine vp mbona page zingine zinakuwa azifunguki?au ni mimi mwenyewe?n-wayz big-up sana

  10. Matilda Says:

    Jamani wahusika wa Celebrity mpo juu ila fanyeni kazi ya kumtafuta FINA MANGO wa clouds mmuweke umu ndani na mmuoji kama wakina lady jay dee wau yule dada aliyekuwa Matron wa miss Vodacom 2007 Fancy Nkuhi napenda niwajue undani wao may be naweza nikaishi style zao wanazoweza kuishi.sio nusu nusu hapana.Asanten

  11. Doreen Says:

    Haswa Mdau wa hapo juu,Mimi pia nina hamu sana ya kusoma undani wake na maisha yake kwa ujumla,Fina Mango ata uyo Dada aliyekuwa Matron wa Miss TZ 2007,Fancy.Napenda sana kazi zao.Bongocelebrity kazi yenu nzuri sana.Ila watafuteni hao watu jamani.

  12. Reg... Says:

    This is more than the best……

    BC big up!!!!!!!!!……

  13. mum Says:

    Hongera sana dada!!!

    kazana na kazi yako

    big up Aisha

    Mum

  14. fanuel Says:

    i find charles hirary interview full of joy. this guy is talented

  15. nzau Says:

    Big up Wandugu,naomba nijue habari za mlimbwende Happiness Magesse,
    Wasandeni saana,

  16. GREYGORY HENRY MOPAO GVOICE MORE FIRE Says:

    BIG UP KWA KAZI MNAYO IFANYA MIMI NAKUABALINA NANYI KWA MATUKIO AMBAYO MNAKUA MNATUHABARISHA KILA SIKU KUHUSIANA NA YALE YANAYO TOKEA DUNIANI..BIG UP NI HAYO TUUUUUUUUUUUUUUU, IM GREYGORY HENRY TZ

  17. Andilile Says:

    Its gud!
    We are getng difrnt newz from BC.
    Ni hayo 2, ma Bro & Sis!!
    GOD Bless U ol….!!!!!!!!

  18. Pearl Says:

    BC is it possible to have Nancy Sumari in the house? Pleaseeee!!!,i real like that girl.

  19. mpoque Says:

    picha zenu chache

  20. dadi Says:

    kwa bkog kuwa nzuri picha ni muhimu. co mbaya mwanzo mzuuri. muwe mnashurika.

  21. criss manda Says:

    hey u got be so squeezing hard guys ok

  22. chuchu Says:

    wajameni vipi kuhusu huyu celebrity wetu aliyeko big brother mtamuhoji lini tujue habari zake

  23. chuchu Says:

    namzungumzia latoya

  24. caroline Says:

    amefanya nini latonya

  25. Tamu Says:

    good job fanyeni juu chini mtuletee mpaka rais wa jamuhuri

  26. mwanaid Says:

    kuliloni latoya kutoka mapema kiasi hiki?

  27. Tuga Jr. Says:

    Fetty fanya if pocbo ht kesho uniwekee ile last enterview waliyoifanya akina B12 na Chidd Benz. Do that m2 wangu!

  28. Haji fuko Says:

    Nimefalijika sana na comments za waliotangulia ila kwangu na kuja kiaana nyingine kuhusu nchi yetu inakoenda,ni pale wanajamii wengine wanaishi kwa shida na wengine wanafulahia maisha kama wako peponi.

    Agenga; Albino
    Unajua ukianza kujiuliza kuhusu suala la maalbino utaona ya kuwa wanaonewa sana na wanawanyanyapaa maana sasa kwenda shule inakuwa shida kutembea peke yake shida.

    kwa maantiki hiyo viongozi wahusika na jamii kwa ujumla wanabaki kushangaa wakisikia tu albino kakatwa viongo hiyo nikila siku au kila kukichwa.
    wahusika wakiachiwa huru, hatua hazichukuliwi upazavyo.

    Chanzo cha mauaji kikianzia kwa waganga wakienyeji na watu wanaoshawishiwa na waganga wakienyeji upata viungo vya
    albino utakuwa tajiri kama utaleta tukikufanyia dawa,au wenye migodi ya madini wakifanya hivyo.

    sasa serikali ipige marufuku waganga wakienyeji kufanya shughuli zao.

  29. Haji fuko Says:

    Jamii ielewe Albino ni watu kama sisi tusie kuwa ugonjwa wa ngozi.
    Jamii ieleimishwi kuhusu mauaji ya albino ili yasifanyike hapa nchini,tuwena ushirikiano kukomesha mauaji ya albino.

    serikali kwa ujumla iwe na msimamo zabiti wakutembea nchi zini kuelimisha jamii ielewe kuwa albino viongo vyao si dili kama wanavyosema.

    kwa maitiki hiyo elimu ikifika kwa jamii na walengwa basi hapata kuwepo na mauaji.

    muhimu sana waganga wakienyeji watukiwe sheria ambayo itawabana pale akipatikana na hatia ya mauaji ya albino kwa anyongwe au wafungwe maisha na asifanye tena shughulli ya uganga.

    kuwepo na utaratibu wakuwafatilia waganga wakienyeji kama wanavyofanya TRA kufatilia kukusanya kodi.

    Mkereketwa
    Haji fuko
    P.O.BOX 42125
    Dar es salam
    Tanzania

  30. Mise Says:

    WEKA PICHA UUZE BLOG NDUGU YANGU.
    OTHERWISE U GAT A GUD AIDIA.

  31. mpagamaY Says:

    mzuka kaka,unafanya kazi nzuri sana na unastahili pongezi coz blog yako nio ya ukweli, kaza buti safari bado ndefu. Endelea ku2pa burudani wa2 wako,kazi njema


Leave a comment