Recent Comments
winnie on GEA HABIB | |
REHEMA DOUCH on “ANITA” KUTOKA KWA… | |
SPC zoo on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… | |
Mattylda on LIYUMBA AINGIA MITINI! | |
watu bwana on SALAMU ZA FA KUTOKA COVEN… |
This work is licensed under a Creative Commons Attribution-Noncommercial-No Derivative Works 3.0 Unported License
rais wa south africa jina lake limentoka
huyo ni rais wa afrika ya kusini bwana montlante
Rais wa South Africa?? Jina sikumbuki!
RAISI WA AFRIKA YA KUSINI KWA MUDA
rais mteule wa SA,toka chama tawala cha ANC,ambaye amerithi kiti cha thabo mbeki hadi raisi mteule atakapopatikana baada ya uchaguzi hivi karibuni
huyu ni Profesa naniniiii..
rais mpya wa Afrika Kusini
SURELY PRESIDENT. KGALEMA MOTLANTHE, OF THE DEMOCRATIC REPUBLIC OF SOUTH AFRICA.
Ni mmoja kati ya viongozi wa serekali ya J kabila kule congo kwa jina limenitoka
Kaimu Rais wa muda wa Afrika ya kusini mheshimiwa
KGALEMA MOTLANTHE
Kaglema Motlanthe, Raisi wa Afrika Kusini.
Mdau
http://drfaustine.blogspot.com/
Huyu ni rais wetu mteule wa Republic of south africa Mr kgalema montlanthe akiongozwa JZ mzee wa shower kawekwa kama sanamu tu nchi inaongozwa na wengine na sasa anakashifa ya kumjaza mimba totoz ndogoo na wametengana na mkewe kitambo
HUYU NI RAIS WA WAPEMBA KWA MUDA MPAKA UCHANGUZI MKUU 2010
RAIS WA KIPINDI CHA MPITA BONDENI A.K.A SOUTH MWA AFRIKA
dah gilbert acha uwongo mzee ha ha ha ha ha
Wale wote waliomtaja aliyepo pichani kama Rais wa Afrika Kusini,Kgalema Motlanthe,ndio waliopata jibu sahihi.Ni hivi leo tu Rais huyo ametangaza kwamba uchaguzi mkuu nchini humo utafanyika tarehe 22 April 2009.Jacob Zuma ambaye atasimama kama mgombea rasmi kupitia chama cha ANC ndiye anategemewa na wengi kwamba atashinda.Lakini hilo ni jambo la kusubiri na kuona.
Tunapoweka picha na swali kama ilivyo katika post hii huwa tunadhamiria kukumbushana kuhusu watu mbalimbali,kuelimishana kwa njia moja au nyingine na hata kuburudisha inapobidi.Shukrani kwa wote ambao huwa mnajitokeza katika kumtambua mtu au watu wanaowekwa.BC inaheshimu mchango wako kwa jamii pana.
ahaa,kumbe ndio bosi wa huko bondeni.
he is the existing president of South Africa, he is appointed by the commitee of ANC to cover for the resignation of Exelence Thabo Mbeki, the name is KGALEMA MOTLANTHE
wote hapo juu mmekosea jamani ni dingi yangu! anaitwa mzee fifi