Majuzi wakati ulimwengu unasheherekea sikukuu ya wapendanao,mtangazaji maarufu nchini Tanzania,Michael Maluwe alihitimisha siku hiyo kwa kufunga ndoa na kipenzi chake Diana katika Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi jijini Dar-es-salaam.
Pichani ni Michael na Diana wakati wa tafrija iliyofanyika katika ukumbi wa Sunset uliopo Mbezi jijini Dar-es-salaam.BC inawatakia ndoa bora yenye Baraka na maelewano tele.
Picha hii ni kwa hisani ya Father Kidevu ambaye kama unamuhitaji kwa shughuli yako unaweza kumpata kupitia simu yake namba +255 755 373999.
mmependeza sana hongereni sana
Shavu dodo!!
HONGERENI SANA,kila siku kwenu iwe valentine sawa??mtangulizeni mungu kwa kila jambo!
all the best!
alikua na kipindi chake cha michezo pale ITV, yeye alikua anatoa wacheza golf wa kihindi tuu mwanzo mpaka mwisho.sijui walikua wanampa mshiko ama vipi!
Hallow Mr & Mrs Maluwe
Nawatakia kila la kheri katika ndoa yenu Mungu awabariki kwa kila jambo mfanyalo.Sawa my dada Diana.Be blessed
Poa sana Michael kwa kufanya jambo la busara na gumu katika kufikia kufanya maamuzi. Mungu aibariki ndoa yako na iwe yenye upendo zaidi. Ule utoto wa kigurunyembe uache kabisa.
Anafanana na Neema Mbuja!
hongereni sana. na kikubwa ni we diana always mwanamke mwema huijenga nyumba yake yeye mwenyewe ucwe yule mpumbavu one… kinachotakiwa ni uvumilivu inawezekana hili neno umelickia sana mpaka limekuchosha lakini linamaana kubwa sana,,hivi ujifikilii we ninani mpaka mshakaji akawaacha wote tunaomuangalia kwenye tv kukicha akakuchagua wewe unafikili we unastahili sana au unafikiria shetani amelifurahia hilo nooo! sasa hapo kwa shetani ndipo yanakuja magumu uvumilivu unapo take place…kwa leo niishie hapa nimechoka na 9t shift, mungu we2 awabariki sana. wakatoke watoto kwenye kiuno cha michael na kwenye 2mbo lako, amen………………
Kha….this guy is hot..no joke!