BONGO CELEBRITY

All You Wanted To Know But Didn’t Know How and Where

MR & MRS MBUTU July, 10, 2008

Filed under: Burudani,Familia,Muziki — bongocelebrity @ 11:20 AM

Mwimbaji na mnenguaji maarufu wa Twanga Pepeta,Luiza Nyoni pamoja na mumewe Mr.Mbutu.Luiza Nyoni Mbutu ni miongoni mwa wanamuziki ambao wamekuwepo kwenye fani kwa muda mrefu nab ado anaendelea kutesa.

Picha kwa hisani kubwa ya Global Publishers.

 

24 Responses to “MR & MRS MBUTU”

  1. Stranger Says:

    mbona wamefanafa, mtu na dada yake nini?

  2. DUNDA GALDEN Says:

    Luiza mbutu mimi nakukumbuka pale unapokuwa jukwaani kweli utaki mchezo maana hico kiuno na sauti yako nyoorrooorooo inayokata mawingu si mchezo
    safi sana kila la kheri
    chai goda

  3. Kisu Kikali Says:

    hii Picha swafi sana! kwanza hongereni sana dada Luiza na
    mai?nani!ih wako au baba chanja wako,hii imetoka swafi
    sana wasione kwa kuwa ni mwanamziki basi labda ni
    muhuni fulani! mziki ni hajira kama hajira zingine,hapa
    umedhihirisha kuwa unamajukumu muhimu pia
    aktika familia yako.
    Swafi kabisa

  4. kalulina Says:

    Nampenda sana Lwiza ni Dada anayejiheshimu pamoja na mkorogo wake lakini haubadilishi tabia ya mtu vilevileumempendezesha pia. Anaimba nakucheza na wapendeza sana I love the couple na wanapendana kwa dhati.Nawaombea Mungu waepukane na mambo yanayo wazingira wanamuziki wote na waendelee kuitunza familia yao vizuri

  5. hombiz Says:

    monile…….habari za kunyumba……….kila la kheri wanandoa. Endelezeni libeneke.

  6. Mswahilina Says:

    Hivi wana watoto wangapi siku hizi?

  7. kapisi Says:

    we bc hii picha ni ya zamani sana jamani,luiza kabadilika sana,tuletee picha uptodate tafadhali….hata hivyo nampa big up sana luiza kwa mafanikio yake aliyoyapata tangu aanze muziki…anawakilisha wanawake wenzake vizuri sana,hongera mama b….

  8. mama chimpha Says:

    Hongera sana dada Lwiza kwa sababu kwanza wasanii wengi hawadumu katika ndoa zao na heshima inakosa kabisa lakili wewe pamoja na kuwa mwanamziki lakini unajali na kuiheshimu ndoa yako heko sana!!

  9. Edwin Ndaki Says:

    Hakika luiza Mbutu siku zote nakumbuka sana kipaji chake hasa alipoimba wimbo wa “kuolewa”..

    Kila la kheri game unaliweza …utafika mbali endelea kukaza uzi ,usi ame ame kama wakina Choki.

    utafika tu

  10. trii Says:

    wamependeza.

  11. Frateline Says:

    Hi guys, kutoka helsinki-Finland,

    Kwa kweli mnapendeza, ni mfano mzuri ktk jamii, mmetufundisha, muziki ni kazi, sio uhuni. mungu awabariki , hongera sanaaaaaaaa

    cheers guys

  12. sally Says:

    Hombiz, umenikumbusha kwetu!!!!

    kwani hapo wa Monile ni nani?

    Big up Mr. and Mrs Mbutu.

    All the best

  13. solange Says:

    mie nilikimuangalia luiza sasa hivi na enzi zile akiwa sijui kwenye bendi gani ilee”tumetoka kweu mahenge tumekuja darisalama”…hahaha….kweli ilikuwa mahende….by the way mmependeza sana….God be wit u…

  14. kaduna Says:

    Good huo ni mfano wa kuigwa na wasanii wengine! Wasanii wa muziki siyo lazima wawe wahuni au wasiojiheshimu kwani hiyo ni kazi kama kazi nyingine! Tatizo la wasanii wengine hasa wa kike ni tamaa ya maisha ya juu kuliko hali yao halisi na hivyo kujiingiza kwenye biashara za kupata fedha za haraka haraka hususani umalaya. keep up wanandoa mimi nawafagilia sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Usisahau kusali dada angu kwani nilikuwa nakuona pale magomeni ukiwa mshiriki mzuri sijui siku hizi

  15. juma mhando Says:

    good!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  16. Debora kiaka kizuguto Says:

    Nakuemvi sana Luiza kitendo cha kucheza bila kuonyesha tumbo lako hapo tuu umenimaliza na kuichukulia fani yako kama kazi halali.
    Debora

  17. Makwafya Manyamunyamu Says:

    Luiza uko juu sana. Unastahili kupewa kikombe cha dhahabu cha ushinda wa wasanii bora wa muongo!.

    Nakwambia kuwa akiwa jukwaani huyu mama hubadilika akawa kama kabinti na hakuna anayeona ndani kwa shughuli impelekayo hapo jukwaani. Hapo usipime si cha Aisha wala sijui Intaneti wala Bokilo wala Super Nyamwelo!

    Mimi na nyumba yangu tutaendelea kuwa washabiki sugu wa Twanga kwa sababu yako.

  18. Awkward Gauche Says:

    Ninampongeza Dada Luiza kwa kucheza kwa kujiheshimu.
    Hii inaonyesha jinsi anavyo mheshimu na kumsikiliza Mumewe.
    Wanawake wengine wa fani zote waige mfano wake.

    Ninakutakia kila la heri dada na mafanikio katika maisha yako pamoja na familia yako.

  19. hombiz Says:

    Sally kwakweli wa monile mimi simjui. Nimeona jina tu nikabaini ni la kunyumba. Pale pale kwa mfalanyaki!

  20. jasmin Says:

    kwakweli dada luiza sijawahi kusikia kashfa za ajabu ajabu kuhusu wewe.inapendeza sana.

  21. Kichwabuta Mwendantwala Says:

    Hongera sasa dada LUIZA na mumeo Bw. Mbuttu (bila shaka huyu ana undugu na bwana mmoja anayekwenda kwa jina la Farijallah !!!) kwa kweli mmependeza sana you couple !!! Naomba kumuuliza dada Luiza, hivi Aunt jessica Charles (mate wako wa zamani Twanga Pepeta) yuko wapi siku hizi maanake ni muda sijamtia machoni au SHEM wetu yule MZUNGU ndio alibeba moja kwa moja mpaka majuu ?????? Tafadhali naomba contact zake kama unazo !!!! Otherwise, May the ALMIGHTY bless your matrimonial relationship so that you stay together for yet another a hundreth years to come !!!!!! Karibu sana NORWAY next time when your band (TWANGA) visit again SCANDANAVIAN Countries !!!!

    ciao

    Kichwabuta
    NORWAY

  22. sally Says:

    Ok poa amna noma Hombuzi!

  23. Chris Says:

    Namkumbuka toka enzi za NIMETOKA KWETU MAHENGE NIMEKUJA D’SALAAM, KUCHEZA NGOMA.

  24. jimmy Says:

    mwake!!!


Leave a reply to Makwafya Manyamunyamu Cancel reply