BONGO CELEBRITY

All You Wanted To Know But Didn’t Know How and Where

fiesta jirambe moro ilikuwa full mzuka October, 25, 2008

Filed under: Burudani — bongocelebrity @ 6:09 AM

Mfalme wa Rhymes Afande Sele akiwapagawisha mashabiki wake jana usiku ndani ya ukumbi wa mambo clubpamoja na kujiramba watu walikuwa ile full mizuka mbayaQchila nae akikamua vilivyo mbele ya wakazi wa Moro,Chila bila hiyana aliutambulisha wimbo wake mpya kabisa uitwao Paparazi ambao ulionekana kuwakuna mno washabiki waliotinga ukumbini humoWatu kibao ndani ya tamasha la fiesta jirambe mkoani Morogoro ilililofanyika ndani ya ukumbi wa Mambo Club jana usiku,Fieata leo inafanyika pale Dodoma na baade jpili itafayika uwanja wa jamhuri.

 

15 Responses to “fiesta jirambe moro ilikuwa full mzuka”

  1. Matty Says:

    sioni kibao cha kuniburudisha na wknd hii nakuwa kama teja fulani hv, BC bwn ushatuzoesha sasa wapi muziki wa kusindikiza wknd???
    WKND NJEMA WOTE!!

  2. Edwin NDAKI Says:

    Amani kubwa kwa mtu mzima afande sele..

    nakubali sana kazi zake…

    inawezekana..simba mzeee msitu mpya

    tutafika tu…

    YAANI BC IJUMAA IMEPITA BILA KUTUWEKEA SONG..KULIKOKONI?

    tutafika tu

  3. Gervas Says:

    Duh, wabongo kwa misemo!! “Fiesta Jirambe ndo nini sasa?

  4. michelle Says:

    Ndo nini sasa kidali nje, hali misuli huna mbona nje, basi alimradi tu uonekane kama wanani hiiiiiiiiiiiiiiii kula vizuri pamoja na mazoezi, man teh teh teh.

  5. jay ambe Says:

    binafsi naipenda BC kweli ina waandaji makini ila kuna kitu ningependa tu niwaambie BC na team nzima mko pole pole sana ,mara nyingine mpaka week 2 au 3 kunakuwa hakuna jipya nadhani ni wakati wa BC kubadilika katika hilo naipenda BC na wadau wake kina matty, ndaki ,chafosa,binti mzuri ,gervas ,kahindi na wengineo wote ,ni mtandao makini ila kuna haja ya team ya bc kuact in a mo proffessional way,otherwise good lucky to u guyz mnajitahidi

  6. Chris Says:

    Full kujiramba, full shwangwe! Acha bongo iitwe bongo!

  7. solange Says:

    hao mashabiki duu

  8. hombiz Says:

    Gervas! Hiyo fiesta jirambe sijuwi imekaaje kwakweli.
    They need to stop!
    Anyway, washabiki na wasaniii..kamueni hadi watu waelewe kwanini kuku hajaota matiti…kudadeki……
    fungepi penati kwa kichwa vijana wangu….

  9. halima Says:

    Wadau nini maana ya fiesta? kwani naona kama inaleta maana nyingine kabisa maana kama hii iliyofanyika hivi karibuni huku arusha kwa kweli ni aibu tena aibu sana. vitendo vya ajabu vilifanyika wazi wazi bila hata chembe ya aibu wasichana wengine walibakwa, wengine waliibiwa baadhi ya vitu ilimradi ni full vurugu badala ya shangwe.
    Sasa mbona maana inapotea badala ya furaha inakua vilio mimi sijaona faida ya hii kitu

  10. Matty Says:

    Jay ambe, umeongea point ya kueleweka aisee, hata mimi naipenda BC na wadau wote, tatizo uslow slow unaonyemelea BC kama kuna VIRUS pls Majita mshughulikie haraka!

    Kuhusu Fiesta Jirambe mimi ndo niko out of the moon kabisa hata sijui maana yake?

    Anyway mimi naona tutafika lakini kwa kuchoka!

  11. chapombe Says:

    wabongo utawaweza wapi mambo yao,wao wanatafuta sababu tu wanywe pombe

  12. kahindi Says:

    kwangu mimi fiesta ni pombe + bangi + ngono = wadau jazeni.

  13. binti-mzuri Says:

    hahaha fiesta jirambe!LOL … mi nawaachia mikononi!nimeshindwa aisee

  14. trii Says:

    jirambe nini?

  15. kahindi Says:

    jay ambe no 5…aksante kwa kulirusha jina langu live…i appriciate…


Leave a comment