Nilipomuuliza kwamba nini mipango yake ya baadaye kisanii au katika sanaa bila kusita Nakaaya alinijibu kama ifuatavyo; To be better and better and the best there ever was in Tanzania and in Africa. Hiyo ilikuwa takribani mwaka mmoja uliopita katika mahojiano yetu na Nakaaya ambayo unaweza kuyasoma kwa kubonyeza hapa.
Leo hii,Nakaaya anakuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla kupata mkataba na kampuni ya SONY MUSIC yenye makao yake makuu jijini New York nchini Marekani.
Kwa habari zaidi soma ujumbe huo mahsusi kutoka kampuni ya SONY MUSIC kama ulivyosambazwa leo kwenye vyombo vya habari.Hongera sana sana Nakaaya.Keep doing ya thing!
Nakaaya’s Photo/Stephen Freiheit
TANZANIAN SONGBIRD NAKAAYA SIGNED TO SONY MUSIC ENTERTAINMENT
An icon of contemporary Tanzanian music, Nakaaya, has been signed to Sony Music
Entertainment. Among the record label’s well-known subsidiaries are Columbia
Records, RCA Records and Epic records, just to mention a few. Nakaaya, who has
acquired a large following and growing fan base across the region, now makes
history by being the first East African artist ever to be signed to the second largest
record company in the world. The company’s roster includes internationallyacclaimed
artists such as Alicia Keys, Beyonce, Britney Spears, Celine Dion, Chris
Brown, Sean Kingston and many more.
The signing took place when Nakaaya was attending the “Music’s Relevance in Third
World Countries” Conference, in Copenhagen, Denmark, in late 2008. (more…)
Recent Comments